Wakati nahamia songea 2022 ndugu na marafiki waliona nmechanganyikiwa ila kwa sasa naona nilkuwa sahihi, nalima nafuga, nafanya biashara ya mpunga na mchele najuta kuchelewa kufika songea.
Ujue kuna watu wanaishi mijin haya hayajawakuta wanajibu km wamekatika vchwa, kwan nan anapima gharama y uzalishaj wakat wanaotoza ushuru sio wakulima? Na je lini wakulima waliulzwa kuhusu gharama zao za uzalishaj?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.