Baraza la vyama rafiki walipokutana walikaa kama wapo ukumbini wanakamati ya fitina ila hawa ma bwana wamewekwa kwenye meza yamkao kama baraza la mawaziri nini maana yake nasiye ma shekh tukiitwa tukae namna hyo syo kuwekwa kwenye ukumbi hata ukitaka kuandika kitu unaandikia juu ya goti
Hakuna muislamu wa hvi uislam ni hekima na busara mtume angeeneza din kwa matusi na kbri asingwafikia wengi nyie ndo mamluki mnajidai kuitetea din kumbe mwaitukanisha kwa njia nyingine unaweza kumkanya kwa hekima akakuelewa si kumtolea matusi kwakua naiman alijua atatokea mtu wakumtukana...
Asilimia 90 ya memba humu wana uelewa wakati inajulikana thahiri ili uwe mfuasi wa mbogamboga lazima dishi kdogo liyumbe so nathan utajua nikwanini hayo unaayosema yanatokea
Wairan aka wairanian msemo wa ulamaa mmoja. wafanye kama wanajikuna waone kitakachotokea .tutaamka na breck news za viongozi wa mairanian kuliwa vichwa
Inshallha.> Alhaa ajue namna ya kudili na wewe kwa namna. Apendavyo nakwakua subhana ni mwerevu na mwenye hekhima na hakika pia majibu unayo pata pia kupitia maon ya wachangiaji pia hata ukijitoa ufaham najua nifethea kwa wewe na wanao kufaham na wanaotegemea uwateteee
Hilo nalo linatafakarisha mkuuu unaweza mpa mtu mwanao amfunze kumbe kamfanya mwanao funza.unamuliza mwanao vita ya kagera ilikua mwaka gan? Mtoto anakwambia 1999 mpaka 2000 unabak kushangaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.