Recent content by muhamad mt 77

  1. M

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    Wanawake pekee ndo wanaweza hilo jambo mkuu maana wao penye pesa popote wapo na penye ushindi ndo wanaenda. kiongozi
  2. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Viongozi wa TEC - Ikulu, Chamwino

    Ewaaahh hapo sawa umewaza vyema.ila baada ya kutoka kwenye meza za raundi ndo twende kwenye mkeka
  3. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Viongozi wa TEC - Ikulu, Chamwino

    Baraza la vyama rafiki walipokutana walikaa kama wapo ukumbini wanakamati ya fitina ila hawa ma bwana wamewekwa kwenye meza yamkao kama baraza la mawaziri nini maana yake nasiye ma shekh tukiitwa tukae namna hyo syo kuwekwa kwenye ukumbi hata ukitaka kuandika kitu unaandikia juu ya goti
  4. M

    JamiiForums Tanzania Utambulisho wa Selemani Mwalimu, Simba

    Uliona mbali mkuu
  5. M

    JamiiForums Tanzania Pakistan: Mchoma matofali mkristo achinjwa baada ya kunywa maji katika chombo wanachotumia wafanyakazi wenzake waislam

    Hakuna muislamu wa hvi uislam ni hekima na busara mtume angeeneza din kwa matusi na kbri asingwafikia wengi nyie ndo mamluki mnajidai kuitetea din kumbe mwaitukanisha kwa njia nyingine unaweza kumkanya kwa hekima akakuelewa si kumtolea matusi kwakua naiman alijua atatokea mtu wakumtukana...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Unafikiri kwa nini CCM haina ushawishi kwa members wengi humu JF?

    Asilimia 90 ya memba humu wana uelewa wakati inajulikana thahiri ili uwe mfuasi wa mbogamboga lazima dishi kdogo liyumbe so nathan utajua nikwanini hayo unaayosema yanatokea
  7. M

    JamiiForums Tanzania "Ukumbi walipuka kwa shangwe Waziri Mkuu alipoingia kwenye Knock Out ya Mama."

    Sialisema hapendi kushangiliwa
  8. M

    JamiiForums Tanzania US General: Hatuna silaha kuilinda Israel bora tujilinde wenyewe

    Wairan aka wairanian msemo wa ulamaa mmoja. wafanye kama wanajikuna waone kitakachotokea .tutaamka na breck news za viongozi wa mairanian kuliwa vichwa
  9. M

    JamiiForums Tanzania Hakuna Sehemu Yoyote Ile Duniani Ambako Dola Inachezewa Na Kuyumbishwa na Mtu Akachekewa tu. Ni Lazima Upitishwe Kwenye Tanuri la Moto Hadi Uive Akili

    Inshallha.> Alhaa ajue namna ya kudili na wewe kwa namna. Apendavyo nakwakua subhana ni mwerevu na mwenye hekhima na hakika pia majibu unayo pata pia kupitia maon ya wachangiaji pia hata ukijitoa ufaham najua nifethea kwa wewe na wanao kufaham na wanaotegemea uwateteee
  10. M

    JamiiForums Tanzania Manara amuonya Heche, asema kama hamuwezi kuiongelea vizuri AFCON, kaeni kimya

    🤣🤣🤣 Kuna mjumbe kutoka kanda ya ziwa anategemea kuchukua form 2030 ya urais kesha muweka kwenye taget. So mkuu ondoa shaka.
  11. M

    JamiiForums Tanzania JamiiForums ukiropoka ujinga kwenye uzi utajuta, No Delete Section

    A Alichelewa mjini au ni wa2000 kwahyo mambo ya MZL 360 TZC 304 TZD 106 anahisi nipesa😅😅 umenikumbusha mbali mkuu mandolini ya mzee TZH 333 dah
  12. M

    JamiiForums Tanzania Tupatie mwanao tumfundishe na kumjengea uwezo mkubwa

    Hilo nalo linatafakarisha mkuuu unaweza mpa mtu mwanao amfunze kumbe kamfanya mwanao funza.unamuliza mwanao vita ya kagera ilikua mwaka gan? Mtoto anakwambia 1999 mpaka 2000 unabak kushangaa
  13. M

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON

    Anakupga ya korodani banaa ndo inanoga🤣
Back
Top Bottom