Wange muuwa kabisaa.wameuwawa kina soka kina mdude kina polepole ben sanane Baba yangu Alikibao nk je hao aliwahi hata mara moja kusema neno nibora angekua alisema neno juu ya hao ndo akafukuzwa angalau tungesema kitu.lakin kwakua alikaa kimya basi nasisi tukae kimya limpatalo limpate
Waambie wamsikilize alafu wachanganue wenyewe.kwanini unawaambia wasimsikilize? Yeye kawaambia watibei sasa madogo nao wanaweza sikiliza sera za watibei wakazielewa nawakawa sehem ya watibei
Kazingua ila ndo maisha kila mtu ana namna yakupambania maisha yake kwanamna anavyoona inafaa.muhim alishatimiza wajibuwake kwa wakati wake enzizake.wakat mwingine wa tz syo wakuwategemea wanasema wapo nawewe kikulamba wapo kimyaa siunaona lisu
Mpasue .haya mambo ndo unayawezea endelea kutupa elimu na kutukumbusha kadri unapopata nafasi angalau kila ukitoka huko juu kwnye mashamba ya miraa na tangawizi unatukumbusha uschoke.namwenye masikio atakusikia neno lako
Na hakuna kitu inaeza kupta kukojolea hayo mavitabu ya waarabu wa mashariki yakati wote waloleta hiz dini wametoka mashariki ajabu waliweza penyeza mpka kwa wazungu hayo mambo yao sema wazungu kama wameanza shtukia mambo yadin hayawapotezei muda sana ila mashriki yakat na africa ndo balaa lipo
Nasikitika haswa mana nduguyangu pia ni muhanga yan hapa mwanza ukienda moboto yupo ukienda pale buzuruga yupo ukienda daraja la masai yupo naskia buhongwa pia panachimbo jipya yupo yan.mungu awasaidie tu kwakweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.