Maadamu anaweza kumwadhibu basi kwa namna fulani anaweza kuwa bosi wake. Ni tofauti na mimi ambaye hata nikimtukana vipi huyo Karia hana la kunifanya zaidi ya mahakama.
Hizo ni zama braza, kumbuka zama za wakati wa Julius akiwa Rais hakukuwa na flyover hata moja nchi nzima na hakuwa na rami toka DSM - MZA na wala DAR -MTWARA na wala hukuwa na Bwawa la Julius Nyerere na serikali bado haikuwahi kuhamia Dodoma pamoja na kwamba yalikuwa ni mawazo yake. Hayo yote...
Siku tukifanikiwa kumpata kama yule wa Chato ×2 au zaidi kwa matendo na sifa tunaweza kufika kule tunakokutarajia baada ya muda mfupi zaidi. Hawa wengine plus huyu wa sasa gari litaendelea kunasa kwenye tope hadi lioze.
Wewe nawe acha hizo, sasa mkuu wetu wa nchi ndo awe anapakatwa na majamaa hadharani na sisi tunaona halafu watu wasiseme. Sisi wote ni watu wazima tunajua ukishamshika kihivyo mwanamke (asiye ndugu yako) bila kujali ni Rais ama la ni lazima kuna muwasho wa hamasa utajitokeza.
Mingi ya miradi ya serikali haiangalii hizo arithmetic za kwenye makaratasi kwa sababu yenyewe haifanyi biashara. Ni ama huwa huduma, kufit political interest au interest za walioko kwenýe usukani kwa wakati husika. Na Hata kama wataangalia hizo NPV, IRR, ARR etc siyo lazima iwe short term...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.