Moderator Moderator naomba umsaidie kuuhamisha uzi kwenda Habari n Hoja Mchanganyiko aweze kupata wachangiaji stahiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi wako ungepeleka kwenye Habari na Hoja Mchanganyiko. Humu ni jukwaa la Mapenzi, Mahusiano na Urafiki. Omba mods wakusaidie kuuhamisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Being raised in a broken family ni tatizo kubwa sana kuliko kuwa raised right na Baba Mlezi. Talking from experience, sina la kuongeza
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri wangu, usiwe na huruma. Mpe Baba mwingine mtoto, kata mawasiliano, fanya maisha yako. Pia mnamchanganya mtoto kujua kuwa ana Baba wawili, muacheni mtoto akue kwanza, bora ulaumiwe kuwa ulimtenganisha na bake halisibut atleast umemweka mahali apate kukua vizuri. Dunia haina huruma...
Huyu mrembo lazima akupe game, ni suala la muda mkuu. Utashangaa tu, mbwembwe nyingi mwisho anakutengea. Kama hutaki game mkatae mapema. Unaweza jaribu mahusiano yako mengine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Me nisiwe muongo, demu wa rafiki yangu anitake ivo, naona mwana ataniua akijua ila mie moto nampelekea sio wa nchi hii then namkataa kama simjui na mazoea yanaisha.[emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera kwa kuwa na mipaka. Mungu aendelee kukusaidia kwenye msimamo wako ila jua tu ukienda mwenyewe utategwa tena sana tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla hawajaja kukupa muongozo,
Shemeji anataka mashine, sasa kazi kwako mkuu.
Ila nlivosoma nimejiuliza sana, Mzee unatoka na wanawake wa aina gani? These kind of women binafsi nimewaona cheap sana, cheap is expensive. Panda bei mkuu, hela unayo, usije kufa kwa sababu za kuepukika...
Umeongea bonge la point sina hata la kuongeza. Na hio experience nishaipitia hapo 2017, ilkuwa bonge la somo, nlitumia FedEx na ikabidi nlipe na agent juu na nlinunua documents pia. Next time nlichofanya ni njia ya postal tu. Kodi utalipa kama ipo, japo inachukua muda hadi wiki 2 mzigo kufika...
Ebanaa eeeeh,
Bonge la kisa na pole kwa changamoto DeepPond
Nikiwa mkubwa nataka niwe kama wewe [emoji28]
Nimekukubali sana hapo kwenye kashikashi uliompa mchepuko na kucheza nae jino kwa jino. Wanawake tunawapenda na kuwaheshimu ila wanawake wajinga wajinga lazima twende nao kijeshi hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.