hapo in a maana hata teacher anaweza akafuatwa shuleni na katibu wa CCM mkoa akatakiwa kueleza namna alivyotekeleza ilani ya chama. yaani hapa kazi kweli kweli,,,,wakati naanza kazi niliambiwa mabo ya siasa marufuku,, sasa inaonekana natakiwa kujipanga kivingine,,, unaweza mwagiwa miswali siku...