Recent content by Mudie

  1. Mudie

    Naomba kujifunza taratibu za uzabuni

    Habari..! Naomba kujifunza taratibu za uzabuni. Kwa mujibu sheria za manuzuzi katika miradi ya serikali mfano vifaa vya ujenzi kutoka kwa wazabuni kwa mfumo wa force account. Malipo ya nauli ya usafitishaji vifaa yanajumuisha kwa mzabuni kwenye quotation yake? Au analipwaje gharama za usafiri...
  2. Mudie

    Majina ya Biashara

    Naona maduka mengi Tanzania yana majina (mf. Mwajuma Electronics) lakini nasikia hawajasajili. Hii ikoje kisheria? Au ni makampuni tu ndio lazima yasajiliwe?
  3. Mudie

    Msaada kuhusu House No. Block No. And plot Number

    Shina na Kitalu ni nini kwenye mfuno wa mkazi?
  4. Mudie

    Ujasiriamali

    Uwakala wa mpesa
Back
Top Bottom