Recent content by muddymrisho

  1. muddymrisho

    Ubabe Wa wanaume katika mapenzi

    Daah!! Sijui unanisema vile? Yaan nahisi kama ni tabia zangu!! Kiukweli hata mm natabia kama hiyo kabisaa
  2. muddymrisho

    Insha 3 za Mwal. Nyerere

    Insha 3 za Mwl. Nyerere. Kitabu nilichokipenda zaidi kwa Mwaka huu unaoyoyoma.... Mwl. anasema..... "Kwa hiyo katika utaratibu wa kibepari na kikabaila chama cha wafanyakazi si chombo cha kuondoa unyonyaji, bali ni chombo cha kupunguza makali ya unyonyaji. Si chombo cha kukata mirija ya...
  3. muddymrisho

    Hatari! Kwa mnaopenda kumaliziana lodge, mnarekodiwa na CD zenu zinauzwa na machinga

    Huyo mtu anamrekodi mtu kwa idhini ya nani? Kwani kwenye karasi zao za masharti wameonesha hilo la kwamba watarekodiwa?
  4. muddymrisho

    Kuendesha gari Tanzania ni kukaribisha umaskini wa kupindukia

    Dawa ni kuanza safari kuanzia saa 12 jioni mpaka alfajiri
Back
Top Bottom