Recent content by mubahq

  1. M

    JamiiForums Tanzania Waislamu sikukuu ya mwaka mpya sio yenu, mligomea xmas na hii mtuachie wakristo

    Hivi humu JF kuna shida gani mbona ni kama uislamu na ukristo ni vita, tangu nimejiunga naona machapisho ya kupondana kidini, shida ni nini..? Acheni kujigawa hakujengi umeamini ukristo ndio njia yako ya maisha sawa na kama umeamini uislamu ndio njia yako ya maisha sawa ila izi mada zakujigawa...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kuzaa mapema ni kujiongezea majukumu yasiyokuwa ya lazima

    Kuzaa mapema wala sio shida , kikubwa uwe umejipanga namna ya kuhudumia hao watoto basi...izo raha za dunia sio lazima ziwe anasa tu, ata watoto wana raha yake, kuchelewa kuzaa nikujibebesha majukumu muda wa kupumzika, mfano unapata mtoto wakwanza una miaka 40 inamaana mpaka uyo mtoto anafika...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Jasusi Yeriko Nyerere ayataka Mashirika ya Kijasusi ya FSB, CIA na M16 kutafiti Kwanini Ndege nyingi zinaanguka Mwisho wa mwaka huu

    Wenye mamlaka ya kuchunguza ajali za ndege ni mamlaka za usalama wa anga za nchi husika mfano marekani ni NTSB hao ndio wanachunguza sababu za ndege kuanguka kama imesababishwa na uzembe, mechanical failures na kama kuna sababu za kihalifu kama bomu ndipo mamlaka za uchunguzi za maswala ya jinai...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kwa kianzio cha bajeti ya 25M, naweza kufikia hatua gani ujenzi wa nyumba ya vyumba 4.

    Mkuu ukihitaji ramani n Ukihitaji ramani mkuu tuwasiliane 0718570280
Back
Top Bottom