kazi za Ulinzi ni la kila mtu,tusipende sana kuwalaumu Polisi,tushirikiane nao,tuwape ushirikiano wa kutosha,toa taarifa kwa wakati kwa askari.Kila mtu alipo ajitahidi kuwa na mawasiliano na wakuu wa polisi katika sehemu husika,kwa tukio lolote la Ujambazi au kitu chochote kibaya toa taarifa...
Hiyo kali! Hapa yabidi watu wachunguzwe! Wengi wamebaki kusaini tu maombi ya bunduki huko d,salaam,na bila Milioni,fomu hazisainiwi!.msifikiri kuwa mmejificha! Tunawafahamu hapo karibu na karibu na Kanisa la St.Peter
Hiyo ajali ina mambo mengi,askari wengi wanalalamika mno,kwanza wametoka bukoba wamepata posho kidogo tofauti na askari wengine,PILi magari ya polisi mengi ambayo yalienda OP yalikuwa mabovu mno tofauti na majeshi mengine.Kwa taarifa zilizopo ni kuwa Zaidi ya magari ya Polisi mawili yamepata...
hivi ile tarehe 15/04/2013 pale Oysterbay police canteen nini kiliwakimbiza? wewe na mwenzio asenga na yule mzee aliyevaa suti halafu mguuni kavaa Raba!,wewe ukiwa umeshika gazeti la tanzania Daima! Ama kweli kuhamia CCM ndio Umeanza hiyo Biashara!!!
Tangu mwaka jana mwezi wa 9, nimemaliza michakato ya kulipia Gharama za kuunganishiwa umeme lakini mpaka leo hii trh 25/04 mbona kimya? nyumba yenyewe nimejenga kwa shida mpaka hapa nilipofikia ingawa haijaisha,na vilevile hela ambayo nimewalipeni nilikopa kwa mtu na mpaka nimemaliza kulipa deni...
kosa kubwa waandishi wa habari ambalo walilifanya ni kwenye tukio la ulimboka na mwangosi hamkusimama kidete mligawanyika na msipoangalia mtakufa wote,waandishi ambao wapo salama ni wa UHURU na JAMBO LEO tu.nitaeleza siku nyingine sababu zake kwa kuwa upelelezi wangu haujafika mwisho.
Moto unauanzia wapi? CCM hii hii ninayoijua mimi? unaleta utani wewe?.walikuwa akina Sumaye bwana unamsikia leo anavyolalamika?,Ukitaka kujua habari za CCM niulizeni mimi jamani? nikiwaona hawa vijana nasikitika sana,si afadhali mje huku kwetu kijijini tulime kuliko huo muda mnaoupoteza na akina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.