Rais mpya wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah, ametangaza Baraza lake la Mawaziri kwa mara ya kwanza siku ya Jumamosi, akimteua Lucia Witbooi kuwa makamu wa rais wa kwanza mwanamke katika historia ya nchi hiyo.
Namibia sasa ni nchi pekee barani Afrika yenye rais na makamu wa rais wote wanawake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.