Recent content by MTV MBONGO

  1. MTV MBONGO

    Rais mpya mwanamke wa Namibia kateua Makamu mwanamke na mawaziri 8 kati ya 14 wote ni wanawake

    Rais mpya wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah, ametangaza Baraza lake la Mawaziri kwa mara ya kwanza siku ya Jumamosi, akimteua Lucia Witbooi kuwa makamu wa rais wa kwanza mwanamke katika historia ya nchi hiyo. Namibia sasa ni nchi pekee barani Afrika yenye rais na makamu wa rais wote wanawake...
  2. MTV MBONGO

    Ijue 5 Bora ya majengo marefu kuliko yote TZ

    Hujakua ww. Waliokua wanatoa sababu. Kalale ukue
  3. MTV MBONGO

    Nimeumia, najiuliza kwanini TZ tunanunua kuku kutoka Brazil, Marekani na Saudi?

    Imeniuma Sana kusikia kuwa TZ tunanunua kuku kutoka Brazil, Marekani, Saudi Arabia, UAE, Cyprus na South Africa. Unadhami sababu ni nini?
Back
Top Bottom