Ccm hawana hoja zaidi ya vitisho, uongo, na kurudiarudia alisema m/ kiti wao, ona alichosema cap Komba, Makonda, Mwigulu, bila kuwasahau wale akina mama wa mipasho kama unaelewa na kama ilibahatika kwenda school utaelewa namaanisha nini, wanachoangalia ni matumbo yao kwa siku zijazo.
Kuna mtu (muuaji) ameibuka wilayani Tarime, hadi sasa ameshaua watu kumi ktk kijiji cha Mogabiri kwa kuwadungua na risasi na leo asubuhi amewaua watoto wawili wakati wanaenda shuleni, lakini kamanda Kamugisha kanda maalumu amekaa kimya! !!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.