Recent content by Mtuntera

  1. M

    Tuijadili rasimu mpya ya katiba na siyo kumjadili jaji warioba.

    Ccm hawana hoja zaidi ya vitisho, uongo, na kurudiarudia alisema m/ kiti wao, ona alichosema cap Komba, Makonda, Mwigulu, bila kuwasahau wale akina mama wa mipasho kama unaelewa na kama ilibahatika kwenda school utaelewa namaanisha nini, wanachoangalia ni matumbo yao kwa siku zijazo.
  2. M

    ACT yatua Tarime kwa staili ya kipekee

    Kuleni pesa zao kisha waacheni kwenye mataa.
  3. M

    Mauaji ya Kutisha Tarime

    Kumbe bado hawajamnasa, Inabidi sasa saiga zifanye kazi tata, huo mziki waswahili hawawezi tata.
  4. M

    Mauaji ya Kutisha Tarime

    Tata Hata kama angekuwa mmoja bado ana haki ya kuishi. P'se be serious. Usicheze na maisha ya watu.
  5. M

    Mauaji ya Kutisha Tarime

    Kuna mtu (muuaji) ameibuka wilayani Tarime, hadi sasa ameshaua watu kumi ktk kijiji cha Mogabiri kwa kuwadungua na risasi na leo asubuhi amewaua watoto wawili wakati wanaenda shuleni, lakini kamanda Kamugisha kanda maalumu amekaa kimya! !!.
Back
Top Bottom