ni jina marufu sana hasa likiusishwa na mambo ya vijana yani kule kwa mpalange nahisi ata kampini imeona hili jina linawatia zambi sana si bure ni ngumu kubadili kitu kilichozoeleka
wanataka kuuchosha tu uo uwanja ufabae mapema nazani sasa tff watunge kanuni uwanja mmoja utumike kwa mechi ngapi kule chamanzi ilikua sahihi kabisa timu mbili kule na kmc timu mbili sasa wanahama wakati uwanja wenyewe hata taa hauna siku latiba ikiwaitaji wote wacheze apo itakuwaje
changamoto nyengine niliyoiyona ni jinsi ya kuingia pale stend huchukua hadi nusu saa tu kuingia sababu ya daladala bora wangekua wanapita kwa nyuma kule alafu wanarudi livasi waingie kituo chao
nazani wanaweza weka behewa moja nyuma ya tren ya abililia kwa ajili ya mizigo midogomido na hao mbuzi kuku sema sasa kwa hilo dude linavyojali muda shida itaanzia apo mtu anashuka njiani kukuwake wapo nyuma huko mpka kuwatafuta na kuwatoa itachukua dakika ngapi na mkojo wa bebelu mbuzi...
nazani pugu itakua laisi kwako pia hakuna foleni sana na pia ndo kituo kinachopakia ata kama treni itakua haisimami vituo vya njiani ila pugu lazima ibebe sababu nayo ipo mjini na abilia wenge sana watakao shuka na kupanda ukizingatia watu wote wa gongolamboto kigogo chanika kinyelezi mbezi ata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.