tz watu waajabu sana ndo maana nilihama. wabishi mpaka basi badala ya kufanya utafiti hahaha haya bana mpaka tcra wanakuja kwa inspection nadhani hata vifaa vitakuwa vimeoza au kuchakaa hahaha all de best
tcra hawaamgalii majengo, kamati ya waziri haiangalii majengo fanyeni uchungizi kwa watu wengine. sisi tumenanza mwaka 2012 tukiwa na kila kitu na kibali tcra kilipita mapema ila mpaka navyokwambia hivi bado tunapigwa danadana tu. acha maneno ya kusikia
Haitakuja kutokea ukombozi wa Tanzania kupatikana kwa namna UKAWA NA CHADEMA vinavyofanya kazi. Ukweli unaweza kuumiza lakini msahau kupata ukombozi kupitia hawa watu kwa sababu moja tu kuu HAWAJUI NAMNA YA KULETA UKOMBOZI.
Kikwazo mbele.
Ni dhahiri kuwa CCM wanajiamini kwa sababu kuu moja...
hahahaha una macho au matoke? hahaha hukuona kuwa kanisa ndo linafurika mara dufu saivi hahaha, wageni ndo hadi booking ipite ni miezi hahahaa. eti imefikia ukomo au wewe macho yako yamefikia ukomo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.