Recent content by mtulivuu

  1. M

    Kizaazaa kwenye basi baada ya kijana 'kumchafua' dada kwenye basi la mwendokasi

    nomaaa sanaa ila ila huyo mmama nawasiwas atakua n mchaga maana anakazana na hela tuu eti anunue nguo mpya hashangai kufanyiwa hcho ktendo halaf sometimes chanzo n wao unakuta kavaa hovyo halaf anakuletea tigo karbu na anakwangua kabisa....utaacha kutumia kwwli
  2. M

    Msanii Snura afungiwa kujihusisha na sanaa, TCRA waagizwa kuifuta video ya Chura mtandaoni

    ila sababu kubwa ya kumfungia wanasema hakuwa na kibali cha Basata...ila wanaosema nyimbo ilikuwa haina maadli nakubali pia ,wizara n sekta kubwa sana kweli ku deal na mtu mmoja nakat nymbo na videos kama hzo zpo nyingi kweli na mbaya zaid ya hzo znachezwa kwenye tv zetu sanasana za mbele ....km...
  3. M

    Msanii Snura afungiwa kujihusisha na sanaa, TCRA waagizwa kuifuta video ya Chura mtandaoni

    Hiv kwnza chura alimaanisha n kitu gan???masada kwa anayefaham.....
  4. M

    VIDEO: Mtoto Getrude akaribishwa Bungeni Dodoma baada ya kutoka Marekani

    Ana uwezo mkubwa wa kujieleza huyu inabid abadilishiwe upepo asome masomo ya sayans maana akisoma mambo ya siasa ...atakuwa balaa maana kana confidence kubwa na kana ongea sana ...katatuchanganya na maneno kisha atuibiee....ila yupo vzur hao ndo wa kupewa tuzo/motisha iwe changamoto kwa vjana wengne
  5. M

    Clouds TV mnatia aibu

    clouds kwenye burudan m nawakubali swala la elimu hata wabunge wetu wanaotutungua sheria,kujadili bajet zetu kuna wasio na elimu na wenye elimu ila hao wenye elimu zao hatuon faida za hzo elimu ....kwenye market saiv talent,upeo,ubunif na experience ina matter .........tuache matabaka na...
  6. M

    Gazeti la Mwananchi jaribuni kumheshimu Rais, kampeni zimeshaisha

    kwann tubishane thibitisha hilo kwa takwimu au hesabu kwmba hata iyo 2% si sawa na 1100/=kwa kulingansha na kma mshahara usipandkize chuki na kujarbu kuwaharbia wengne ....huenda unafanya hvyo kwa maslah yko mkuu jenga hoja yenye uthbsho ili tuweze kukuamin
  7. M

    Wakazi wa eneo la Iloganzila Kibamba wabomolewa nyumba zao zaidi ya 400

    sasa hao wakaz kaya 200 wamebomolewa ili apewe mtu mmoja kweli?????yan mtu mmoja apewe hekta 33 alone kabla ya kutetea tujaribu kufkiri na kpnd hzo kaya znajengwa hao serikal walikuwa wanafanya nn nakat inajulikana eneo lina migogoro duuuh h ndo tz yetu....
  8. M

    Gazeti la Mwananchi jaribuni kumheshimu Rais, kampeni zimeshaisha

    mleta mada hapo unachafua gazeti la watu bila ushahid na uthibitisho wa uhakika ....kabla ya kuandka jaribu kusoma kwanza ,nmeona unaongelea kichwa cha habar kumbe hata ndan hujui kaandika nn na n kwa wafanyakaz wa level ipi.....na inaelekea hata mh rais hujamsikiliza maana yy kapunguza 11 to...
  9. M

    Mafunzo ya karate

    Mi nataka michezo yenye movement....na technics kama hyo ya shauring nasikia kuna ma temple ila dsm sijui yapo wap
  10. M

    Mafunzo ya karate

    M natakav sehemu wanapofundsha "shauring" au mutai
  11. M

    Nauli ya kwenda Marekani

    Sidhan kama hapa tanzania umetembea kweli kusafsha macho kuna mbuga kubwa za wanyama ,mt.kmnjaro,mito ,mabwawa,viumbe na maliasili za kutosha bla kuwasahau na wamasai....hela yako ingewasaidia weng sana USA hamna jpya n majengo maref na barabara kubwa .....ila kama vp nenda tuu uwazidi viongoz...
  12. M

    Auawa na Mdogo wake Baada ya Kumfumania Akifanya Mapenzi na Mkewe

    Hv sijui kiswahili au kiswahili kimekosewa ...maana halisi ya mkewe ni "mke wake" sasa kama kaka mtu kamkuta mdogo wake akifanya na "mke wake" hapo kuna tatzo gan ??si mke wake labdla ungesema amfumania akifanya mapenz na shemej wake.....
  13. M

    Kwanini ufanye Biashara ya Mtandao na FLP ?

    Mkuu mm nnazo bidhaa za flp nauza kwa kila moja kwa punguzo la 5000 kwa anayetaka anicheki
  14. M

    Watanzania tuna laana?

    Duu hii mpya eti rahana......pia watu kwa uongo eti viongoz wskubwa kama wabunge na mawazir,hahahahaa nahis hiyo chumv umeongeza mwandsh(mwanafunz) ili urembeshe iyo "rahana"
Back
Top Bottom