nomaaa sanaa ila ila huyo mmama nawasiwas atakua n mchaga maana anakazana na hela tuu eti anunue nguo mpya hashangai kufanyiwa hcho ktendo halaf sometimes chanzo n wao unakuta kavaa hovyo halaf anakuletea tigo karbu na anakwangua kabisa....utaacha kutumia kwwli
ila sababu kubwa ya kumfungia wanasema hakuwa na kibali cha Basata...ila wanaosema nyimbo ilikuwa haina maadli nakubali pia ,wizara n sekta kubwa sana kweli ku deal na mtu mmoja nakat nymbo na videos kama hzo zpo nyingi kweli na mbaya zaid ya hzo znachezwa kwenye tv zetu sanasana za mbele ....km...
Ana uwezo mkubwa wa kujieleza huyu inabid abadilishiwe upepo asome masomo ya sayans maana akisoma mambo ya siasa ...atakuwa balaa maana kana confidence kubwa na kana ongea sana ...katatuchanganya na maneno kisha atuibiee....ila yupo vzur hao ndo wa kupewa tuzo/motisha iwe changamoto kwa vjana wengne
clouds kwenye burudan m nawakubali swala la elimu hata wabunge wetu wanaotutungua sheria,kujadili bajet zetu kuna wasio na elimu na wenye elimu ila hao wenye elimu zao hatuon faida za hzo elimu ....kwenye market saiv talent,upeo,ubunif na experience ina matter .........tuache matabaka na...
kwann tubishane thibitisha hilo kwa takwimu au hesabu kwmba hata iyo 2% si sawa na 1100/=kwa kulingansha na kma mshahara usipandkize chuki na kujarbu kuwaharbia wengne ....huenda unafanya hvyo kwa maslah yko mkuu jenga hoja yenye uthbsho ili tuweze kukuamin
sasa hao wakaz kaya 200 wamebomolewa ili apewe mtu mmoja kweli?????yan mtu mmoja apewe hekta 33 alone kabla ya kutetea tujaribu kufkiri na kpnd hzo kaya znajengwa hao serikal walikuwa wanafanya nn nakat inajulikana eneo lina migogoro duuuh h ndo tz yetu....
mleta mada hapo unachafua gazeti la watu bila ushahid na uthibitisho wa uhakika ....kabla ya kuandka jaribu kusoma kwanza ,nmeona unaongelea kichwa cha habar kumbe hata ndan hujui kaandika nn na n kwa wafanyakaz wa level ipi.....na inaelekea hata mh rais hujamsikiliza maana yy kapunguza 11 to...
Sidhan kama hapa tanzania umetembea kweli kusafsha macho kuna mbuga kubwa za wanyama ,mt.kmnjaro,mito ,mabwawa,viumbe na maliasili za kutosha bla kuwasahau na wamasai....hela yako ingewasaidia weng sana USA hamna jpya n majengo maref na barabara kubwa .....ila kama vp nenda tuu uwazidi viongoz...
Hv sijui kiswahili au kiswahili kimekosewa ...maana halisi ya mkewe ni "mke wake" sasa kama kaka mtu kamkuta mdogo wake akifanya na "mke wake" hapo kuna tatzo gan ??si mke wake labdla ungesema amfumania akifanya mapenz na shemej wake.....
Duu hii mpya eti rahana......pia watu kwa uongo eti viongoz wskubwa kama wabunge na mawazir,hahahahaa nahis hiyo chumv umeongeza mwandsh(mwanafunz) ili urembeshe iyo "rahana"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.