Recent content by MtuFulani8

  1. MtuFulani8

    A man who loves his family

    Lkn pia hayo yanategemea na wife ni material gani!! Kama ni fake au original material!!
  2. MtuFulani8

    A man who loves his family

    Mm nilishasema! Nikioa nitakuwa mume bora, pia nataka niwe baba bora wa watoto wangu! Naomba Mungu anisaidie katika hayo!!
  3. MtuFulani8

    Hivi ni haki mpenzi/mke wako kukusalimia shikamoo?!

    Ahsante mkuu kwa Maelezo mazuri!!
  4. MtuFulani8

    Mchumba amepata mimba na mimi najenga

    Lol! Mdogo wangu unachanganya mada! Mara mimba mara ujenzi! Mm nadhani ujenzi uendelee na mimba iendelee kuwepo, maana mimba cyo ugonjwa! Y haukuvumilia mpaka mfunge ndoa!?
  5. MtuFulani8

    Mimi ni mme wa mtu, ila nimempa staff wangu mimba, nifanyaje?

    Kumbe umewagundua wanaoingia na gear hiyo!! Ha ha ha ha ha ha ha ha haaa! Very funny....
  6. MtuFulani8

    Mchumba wangu kabadilika sana simuelewi

    Acha uongo! Bado unamhitaji!
  7. MtuFulani8

    Mchumba wangu kabadilika sana simuelewi

    Japo itachukua muda!!
  8. MtuFulani8

    Mchumba wangu kabadilika sana simuelewi

    Dah! Huyo mchumba wako yuko kama mm! Huyo atakuwa amekuchoka au amepata msichana mrembo aliyekuzidi vigezo! Hivyo mpe muda wa kutosha, punguza mawasiliano na kuonana naye mara kwa mara, kwa ufupi endelea na ratiba za maisha yako, then utaona matokeo!!
  9. MtuFulani8

    Hivi ni kweli wasichana wenye elimu wana kiburi?

    Kuna chembechembe za ukweli hasa ikiwa umejipendekeza kwa huyo mwanamke hilo lazima litakukuta tu maana hakuna namna! Lkn akikutana na kiburi kama mm lazima atie adabu tu!!
  10. MtuFulani8

    Hivi ni haki mpenzi/mke wako kukusalimia shikamoo?!

    Hilo nalo neno! Me nachukulia kama changamoto hivi!!
  11. MtuFulani8

    Hivi ni haki mpenzi/mke wako kukusalimia shikamoo?!

    Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha!
  12. MtuFulani8

    Hivi ni haki mpenzi/mke wako kukusalimia shikamoo?!

    Ha ha ha ha ha haha h ha ha..kuchunguliana tena! Kwani watu wazima pia wanachunguliana!!?
  13. MtuFulani8

    Magufuli kasababisha nikosane na demu wangu

    Naona hapa kuna chembechembe za politics_!!!!
  14. MtuFulani8

    Hivi ni haki mpenzi/mke wako kukusalimia shikamoo?!

    Ha ha ha ha ha ha ha. .Kidding..
Back
Top Bottom