jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,604
- 3,753
Wakuu,
Hapa ninahasira mbaya,iko hivi Leo nilikua na ahadi ya mpenzi wangu aje alale kwangu sasa nikaandaa mamisosi ya kutosha ili kakipenzi kangu kafurahi,kweli akaja mida ya saa moja hivi,mara saa mbili ikafika tukiwa tumekaa sebuleni tukafungua news ITV,sasa si unajua kipindi hiki Ni cha kampeni news ya kwanza ilikua lowasa ee bwana eee mimi sinamfagilia huyu jamaa na ukawa?
Nikaonyesha furaha yangu jamaa alivyojaza nyomi!haaa mwenzangu si akaanza kuponda,anamfagilia Magufuli,kama masihara tumebishana mpaka ukawa ugomvi na msosi akagoma kula,nikashikwa na hasira kwa nini hali chakula na nimekitoa mbali,na mimi nikasema kama mbwai acha iwe mbwai nikamwambia hata ukisusa nakula mpaka kiishe unafikiri hela nimeokota?
Wakuu ni kama nimemwagia petrol kwenye moto si ashikwa hasira akatoka na kubamiza mlango akaenda kwake.kwakweli hapa nilipo ninahasira mbaya sana sijui usiku huu utakuchaje! Magufuli ninahasira na wewe sana hata kama unaingiaga hapa Jf habari ndo hiyo sikupi kura yangu.
Jembe afrika
Hapa ninahasira mbaya,iko hivi Leo nilikua na ahadi ya mpenzi wangu aje alale kwangu sasa nikaandaa mamisosi ya kutosha ili kakipenzi kangu kafurahi,kweli akaja mida ya saa moja hivi,mara saa mbili ikafika tukiwa tumekaa sebuleni tukafungua news ITV,sasa si unajua kipindi hiki Ni cha kampeni news ya kwanza ilikua lowasa ee bwana eee mimi sinamfagilia huyu jamaa na ukawa?
Nikaonyesha furaha yangu jamaa alivyojaza nyomi!haaa mwenzangu si akaanza kuponda,anamfagilia Magufuli,kama masihara tumebishana mpaka ukawa ugomvi na msosi akagoma kula,nikashikwa na hasira kwa nini hali chakula na nimekitoa mbali,na mimi nikasema kama mbwai acha iwe mbwai nikamwambia hata ukisusa nakula mpaka kiishe unafikiri hela nimeokota?
Wakuu ni kama nimemwagia petrol kwenye moto si ashikwa hasira akatoka na kubamiza mlango akaenda kwake.kwakweli hapa nilipo ninahasira mbaya sana sijui usiku huu utakuchaje! Magufuli ninahasira na wewe sana hata kama unaingiaga hapa Jf habari ndo hiyo sikupi kura yangu.
Jembe afrika