Ivi karibuni dada mmoja alienda katika hospitali moja ya manispaa ya TEMEKE, kwa ajili ya matibabu.
Hasa ukizingatia yeye alizaliwa na condition ya sickle cell huitaji
matibabu ya mara kwa mara ili aweze kusurvive , siku iyo alikua amevaa suruali ya jeanz na T SHIRT lakini cha kushangaza...
Naomba kuuliza wana forum mimi ni mwanachama wa mfuko wa PPF, nimefanya kazi kwa kipindi cha miaka miwili katika kampuni binafsi ya mawasiliano,baada ya kuchoka kuajiriwa nikaamua kuacha kaz sasa nafanya biashara zangu mwenyewe na sina mpango wa kuajiriwa tena, Ina maana hela zangu zangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.