Recent content by Mtu66

  1. Mtu66

    Sitta alonga katika 'Dakika 45' ya ITV

    ICC ilikuwa hapa hapa nchini...... Movenpick ...... chini ya ufadhili wa MAFISADI....... Hakuna Kesi hapo
  2. Mtu66

    Sitta alonga katika 'Dakika 45' ya ITV

    ICC ilikuwa hapa hapa nchini...... Movenpick ...... chini ya ufadhili wa MAFISADI....... Hakuna Kesi hapo
  3. Mtu66

    Sitta alonga katika 'Dakika 45' ya ITV

    Anaongelea issue za Africa Mashariki ... longo longo za ushuru..... historia ya africa mashariki ........
  4. Mtu66

    Sitta alonga katika 'Dakika 45' ya ITV

    Tayari Keshaanza mahojiano .... Anasisitiza upatikanaji wa haki kwa watanzania
  5. Mtu66

    Dr Bana and CCM

    Huyu naye ni Kibaraka tu .... ana close link na REDET => TEMCO =>
  6. Mtu66

    GE2010 Mjengwa Huyu Hapa

    Comments za Mjengwa hizi hapa IRINGA MJINI IMEPOROMOKEA CHADEMA! Taarifa hizi ni za kuthibitisha. Mch. Peter Msigwa ( CHADEMA) ameibuka mshindi akimwacha nyuma Mama Monica Mbega (CCM). CHADEMA pia imepata kiti komoja cha udiwani, hivyo basi itakuwa na...
  7. Mtu66

    GE2010 Ninaomba kura zenu ili niwe Rais wenu

    Go Dr. Slaa go go go...
  8. Mtu66

    GE2010 FFU na Kuelekea Uchaguzi Mkuu....

    Iringa wakimzuia Dr. Slaa kuhutubia ...walikuwa wanatawanya raia wema tu
  9. Mtu66

    GE2010 FFU na Kuelekea Uchaguzi Mkuu....

    Haya ni matumizi yasiyokuwa ya lazima ya FFU Watanzania wanaoneka wana amani kabisa Askari hata hawaoni umasikini unaowazunguka... angalia hayo mabati Uchafu hawauoni Ila raia wema wenye kiu ya Kumsikiliza Dr. Salaa Nalaaani matumizi ya FFU yasiyokuwa ya lazima
  10. Mtu66

    GE2010 Kikwete on ITV, maswali na majibu toka kwake

    Si kishachakachua
  11. Mtu66

    GE2010 Tume yaongeza majina hewa 100 hivi kila kituo - ushahidi ni huu?

    Hili system lao halina Quality Control Halitofautishi Namba Wala Helufi na Hawa wajinga wamefanya makusudi tu kurahisisha uchakachuaji Maana hata ukiweka MAHARAGE kama namba linaleta majibu tu VoterID FULL NAME MAHARAGE REGISTRATION CENTRE REGION DISTRICT WARD
  12. Mtu66

    GE2010 Kikwete Live on Power Breakfast (Clouds FM)

    Mimi nadhani tayari wamevaa hizo SKETI sema macho yetu tu hayawaoni...
  13. Mtu66

    GE2010 Jeshi la Polisi ndani ya Matope...Hii kali ya Karne

    Mzee mzima Mengi Sijui sasa anatupeleka wapi? http://www.youtube.com/watch?v=nwSdy7G4tXI&feature=player_embedded#!
  14. Mtu66

    GE2010 Kikwete sasa Mzigo CCM

    Kikwete ni Mbishi sana.....huwezi kufanya naye kazi ...Mwache achume matunda yake...
Back
Top Bottom