kweli hali hii inasikitisha sana hivi watu wanamchezea Mungu CCM hakuna anayemuenzi Mwl Nyerere ni shida Tupu hizo pesa kweli zingeingizwa wizara ya elimu umasikini usingepungua tunaelekea pabaya Mungu atusaidie kwakweli kama mambo yatakuwa hivi machafuko yatatujia ila tuombe Mungu atuondolewa...
wakuu hapa mmenena sio vizuri wamefanya kwanza adabu hakuna nakuendelea kutaja au kujadili ugojwa wa binadamu mwenzako bila kusikitika ikikupata utafurahia,nakuambia
kiongozi gani anaweza kukemea kama sio EL wengine kelele tu ufutiliaji hakuna kama unataka ushaidi waulize ma RC na DC EL akiwa PM walivyokuwa wanachapa kazi
Kama walimuonea EL laana haitawaacha itatafuna mpaka wote wachafuke we jua ukichafua lazima yakukute.Pia hii laana ya kuchakachua katiba ndio ipo kooni itawanyonga maombi ya watu lazima yajibiwe na Mungu
pia ukitaka kujua walimfanyia fitina angalia Escrow inavyopigwa chenga utajua kuwa kila mwenye maono tofauti lazima ile kwake hata Richimond kulikuwa na uwezo wa kupindisha lakini kwa kuwa walimtaka EL walifanya hivyo kujifanya wanatupenda wananchi kumbe bure tu .ila Kwa kuwa hakuna anayebeba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.