Mitaala inafanana kwa masomo ya science (physics, chemistry,biology, mathematics na geography)
Lakini pia kuna fursa za kufundisha kiswahili kwa waliosoma kiswahili
Siku zinazohesabika ni siku 30 tu kwa likizo
Muda mwingine wote wanatakiwa kuwa eneo la kazi
Tena siku hizi kuna sheria inayowataka watumishi wa umma kutokujihusisha na shughuli yoyote yenye maslahi binafsi kinyume na hapo ni kosa kiutumishi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.