Mengi yanasemwa na yanaendelea kusemwa kuhusu hali ya uchumi kabla na wakati wa utawala wa awamu ya tano. Hasa kuhusu uvurugaji wa uchumi na mengine kedekede.
Kabla sijatoa maoni kuhusu kampeni hasi inayoendelea hivi sasa hebu tupitie kumbukumbu na takwimu tangu uhuru kisha ndio turudi kwenye...
Umeuliza maswali ya msingi ambayo bila shaka baadhi yatakuwa ni sehemu ya ajenda za kamati tarajiwa. Hata hivyo mambo mengine yako wazi hayahitaji utafiti. Hiyo chanjo ya AstraZeneca ambayo kwa kiasi kukubwa ndio inayosambazwa kupitia mpango wa Coxax haitufai hapa Tanzania kwa asilimia kubwa...
Hakuna "Free lunch" hapa duniani. Wanatoa hiyo misaada kwa sababu na wao kuna kitu wanapata. Ndio maana wakafungua balozi zao hapa nchini. Kazi ya Balozi ni kutafuta fursa kwa manufaa ya nchi yake.
Kumbuka kuwa kwa nchi nyingi hasa za Afrika ikiwemo Tanzania ni chanzo kikubwa cha malighafi hasa...
Hili ni tamko la kawaida sana bahati nzuri mambo yaliyomo kwenye ujumbe/ushauri huu tayari yote yameshafanyiwa kazi
nitaeleza kwa ufupi kwa lugha yetu pendwa ili kila mtu aelewe:
-----------
The Commonwealth Secretary-General, The Rt Hon Patricia Scotland QC, has strongly urged authorities to...
Wamejikaanga kwa mafuta yao., Katiba waliandaa wenyewe na walijua kuwa kama wana mgombea wa chama chao hawaruhusiwi kumpigia debe mgombea wa chama kingine. Kwa maana hiyo ACT wamevunja katiba yao wenyewe ambayo ilisajiliwa na Msajili na kuwapa uhalali wa kuwa chama cha siasa. Kama ikithibitika...
CHADEMA endeleeni kushikiwa akili zenu na Robert Amsterdam anayewadanganya mlete vurugu, by the way mpelekeeni picha ili awe na ushahidi wa kupeleka ICC ...
Utafiti mpya kabisa wa kisayansi uliochapishwa jana kwenye Jarida la Sayansi la BMJ (BMJ 2020;371:m3588 ) umethibitisha kuwa JPM alikuwa sahihi kutowafungia watu kwa sababu ya corona.
Utafiti huo unaonyesha kuwa kuwafungia watu kunaongeza madhara zaidi ikiwa ni pamoja na kuongeza idadi ya...
Mtu alielimika hawezi kuandika kama ulivyoandika wewe unayejiita Tigershark... ni bora wajinga wana nafasi ya kujirekebisha kuliko wapumbavu ambao hujiona wanajua kila kitu kiumbe ndio empty head. Kichwa pipa ubongo kama choroko...
Huwezi kuomba uongozi wa nchi kwa kutegemea dola za kigeni. Tangazeni sera zenye mvuto. Taarifa hizi zinathibitisha ajenda OVU mlizonazo dhidi ya nchi kwa kulinda maslahi ya mataifa ya nje. Watanzania sio wajinga wala hawahitaji kurudi utumwani. Tanzania Kwanza.. Mitano tena..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.