Ninavyojua clinical medicine na nursing uwa wanaconsider four pases yaani D -4 ,ebu jaribu kuomba mapema ili kama pia Math ni lazima uwe umefaulu ujue mapema uchukue corse ingine mwaka usikupite.
Ok poa ,Tuombe uzima then one day utaniambia,mi natamani tu uwe mzazi alafu ndo uzungumzie ilo,kwa sasa ni very simple maana mtoto wa mwenzako sio wako......uchungu wa mwana aujuae mzazi.
Hakuna tatizo ngoja tuone kesi itaishia wapi,ila kama ikiwa ni kweli hao waalimu walihusika na makosa hayo ya kuwa na wanafunzi kimapenzi ,waalimu wa kike nao wakiulizwa kwamba je hawakulijua ilo sio dhambi,maana mpaka wazazi wajue na uchunguzi ufanyike na watu kuwekwa mbaroni ilo tatizo sio...
Ulikosea ungemfunza adabu maana ualimu sio kazi ya kujitolea ni ajira kama ajira zingine ,na kama mwalimu unaona una udhaifu kwa wanafunzi badilisha kazi au oa umshonee mkeo uniform ,sio kutuharibia watoto wetu.
Ilo sio jibu kabisa maana hata kama wewe ni kijana iko siku utakua mzazi na hautafurahi mwanao kupotezewa malengo ya kusoma na mwalimu wake ambaye ndo anayetambua umuhimu wa elimu kwa mtoto.
Ilo nalo ni pepo tu hao waalimu wawajibishe alafu maombi watajifanyia wenyewe baada ya kupata adhabu.
Usemalo ni kweli ila mpaka tatizo likomae kiasi icho hao waalimu wa kike wasingejali wao kuchukiwa ila hata kwa siri wangetoa taarifa izo,nao wanastahili adhabu kabisa maana mwalimu ni mlezi walipaswa kuwalinda hao watoto.
Duh hapo ndo shida ilipo ni siri yao kutengeneza ila itakua hadharani wakati watz wakifa kwa ubovu wa daraja,Mi naona ni sawa kabisa kutoa taarifa izi ili kama kuna wahusika karibu wafanyie kazi,lakini pia sioni haja wa sisi kubishana humu ndani badala yake kama wewe sio mtaalamu wa ujenzi wa...
Uongo ni mbaya sana,Hata kama kiongozi hajafanya vizuri kwa kipindi chake au mkawa na uhasama wenu wenyewe sio vyema kusema jambo ambalo ukiitwa kutoa maelezo utabaki mdomo wazi,
kama mnataka kumpa kura muumini wenu mnampa tu ikitokea amefanikiwa kufika stage ya mwisho ya kuchaguliwa na...
Binafsi sijui nani anafaa kua Raisi ,watanzania tukumbuke sera za kampeni sio zote zinatimilika,hata wanaomaliza awamu waliaidi nyingi na sio zote wamefanya,maneno mengi sio uzuri wa mtu,utajiri na umasikini sio sababu,utu ndo cha msingi kama mtu hana utu tutaumia bado.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.