Leila amesema mabinti wanaopata ujauzito wakiwa shule wapewe fursa kusoma kwenye vituo maalum.
Hii itawasaidia wasiwe tegemezi.
Mtoto akikosea anasahihishwa.
Tukiwaacha tu, wataharibikiwa.
Wanaweza kujiingiza kwenye biashara haramu ya uchangu doa.
Hivyo, wasaidiwe tusiwapoteze kabisa.
Tuangalie upande wa pili.
Iwapo kwenye 100 wanaokutwa na hatia ya kubaka mwanamke, wakahukumiwa kuhasiwa, na baadaye pakapatikana vidhibiti na ushahidi kuwa mmoja kati ya hao 100, alikuwa hana hatia, tutakuwa hatujatenda haki.
Adhabu aina hii pia inaweza kupelekea wajinai kuua victims wao ili...
Tuangalie upande wa pili.
Iwapo kwenye 100 wanaokutwa na hatia ya kubaka mwanamke, wakahukumiwa kuhasiwa, na baadaye pakapatikana vidhibiti na ushahidi kuwa mmoja kati ya hao 100, alikuwa hana hatia, tutakuwa hatujatenda haki.
Adhabu aina hii pia inaweza kupelekea wajinai kuua victims wao ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.