Kituoni yaani udom niliripoti nikajaza mkataba na vitu vyote vinavyotakiwa, nikaambiwa sehemu ya kuanza kazi lini nisijaze, wakasema siku hizi huwezi anza kazi kabla cheque number haijaja wanaepusha kuibebesha mzigo serikali
Habari za asubuhi wadau,
Mimi ni mgeni kabisa humu hata kamba haijatoka. Naombeni kuuliza, mimi nilifanya interview UDOM na kufanikiwa kufaulu sasa January 2016 nikajaza fomu ya ajira. Hadi leo sijaitwa kazini, hivi ajira yangu itakuwa bado ipo kweli?
Nafuatilia sana ila jibu ni cheque number...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.