Habari wana JF,nimeona na mimi nijitokeze nichangie machache katitka hili.Kunavitu viwili huwa vinafanyika katika taasisi karibu zote za serikali,kwanza karibu zote zinanuka rushwa,pili taasisi zote serikalini zina wajanja wachache wanajua michezo ya pesa.Mfano:mjanja mmoja anachelewesha...
Usijali aunt yangu hakuna limit ya umri wa kuolewa,endelea kumuomba mungu atakupatia wa kukutuliza moyo.Msalimie sana mtoto wako na endelea kuwa mama mwema
Kwanza pole sana maana kusalitiwa kunauma kupita kiasi,kumbuka siku zote usichukue maamuzi wakati unahasira tenga muda kwanza,naamin anastahili kusamehewa na kumpa second chance.Mwambie akupe muda kama 1month hivi utulize akili na fikra halafu unaweza kumwita na kuongea naye taratibu.Jambo la...
Tuliza moyo wako kwanza kama wiki 2 hivi halafu anza kuzungumza na mungu kwa kufunga na kusali ili upate majibu ya ndoa yako na kumfukuza ibilisi katika ndoa yako.Kumbuka siku zote hizo usizungumze naye tean kama itawezekana funga tatu kavu namaanisha bila kula kitu chochote kwa siku tatu na...
Ni ukweli mtupu uyasemayo mdau,Raila Odinga ndiye hasa anastahili kuiongoza Kenya lakin kutokana na Ukabila itakuwa ngumu sana kuwa Rais wa Kenya,Ili ukubalike Kenya ni lazima utoke kwenye makabila makubwa ya huko kama KIKUYU etc.Namuonea huruma sana Odinga kwani siku zake zinahesabika anamuda...
Mambo vip Mabreka,topic yako imenifanya nijitokeze kwa mara ya kwanza kutoa comments humu JF baada ya kuwa member wa kusoma comments tu za wadau kwa miaka mingi tu.Kwanza ni kweli ataumia sana ukimwambia live kuwa humtaki wat you can do is that mtafutie sababu namaanisha tengeneza manzingira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.