Recent content by mtokeibwima

  1. mtokeibwima

    JamiiForums Tanzania Mbio za mwenge na matumizi ya watoto qa halaiki.

    Wana bodi huu upuuzi wa kutumia watoto katika halaiki na kuwalipa 3,000/= ni aibu. Yaani watoto washiriki mazoezi kwa muda wa wiki tatu(3) na gharama za usafi ni kwa wazazi, kisha baada ya kukamilika zoezi hilo wanaambulia tracksuits na Shilingi 3,000/=. Wakati wakuu wa idara wanapewa nauli...
  2. mtokeibwima

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mchengerwa achukizwa na maamuzi ya RC Chalamila, ahoji ametoa wapi mamlaka?

    Mie Nakumbuka ilikuwa kipindi cha Bashungwa na iliruhusu magari madogo,daladala na mabasi makubwa. Yale malori hayakuruhusiwa kupita. All in all barabara ya Kilwa ina jam kubwa sana,ile ilisaidia sana. Ukishashiba maharage ndiyo yanakutoka tu.
  3. mtokeibwima

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naogopa kuwa mama

    Umemaliza. Siongezi kitu
  4. mtokeibwima

    JamiiForums Tanzania Tuseme ukweli, kisiwa cha Mafia umeshawahi kusikia habari yoyote mfano kama Serikali zinavyofanyika mikoa mingine

    Usijali. We nenda tu. Mnainjoi sana kama bahari iko shwari. Ila ikikasirika usithubutu kusafiri kwa meli. Utakuja nishukuru baadaye. Penda sana kuangalia utabiri wa hali ya hewa ndiyo dira nzuri kwa safari za baharini. Ukichukulia siku hizi watabiri wetu wakitema utabiri ni mle mle mfano Hidaya wind
  5. mtokeibwima

    JamiiForums Tanzania Tuseme ukweli, kisiwa cha Mafia umeshawahi kusikia habari yoyote mfano kama Serikali zinavyofanyika mikoa mingine

    Hakina matukio makubwa ambayo media zitafanya coverage kubwa. Ila kipo kitambo tu na maisha yanaenda. Papa potwe ndiyo alama yake. Maana ni kiumbe anayepatikana hapo tu.
  6. mtokeibwima

    JamiiForums Tanzania KERO Kibiti umeme hauwaki mfululizo zaidi ya saa moja

    Asante kwa kujitahidi kueleza. Kwakuwa issue ya umeme ni kero kubwa kwetu wateja. Sina haja ya kuku attack personal. Inaweza kuwa una vyanzo vingi but kukatika kwa umeme ni kero. Sina msongo as you think. Tatizo kubwa ni hii kero kubwa pande hizi za Kibiti.
  7. mtokeibwima

    JamiiForums Tanzania KERO Kibiti umeme hauwaki mfululizo zaidi ya saa moja

    Unazungumzia taarifa zipi sasa? Maana hii ya kukatika leo mmesema ilitoka mapema, na kwa kuwa sipo kwenye group la wilaya. Je na wale ambao hawapo kwenye group la wilaya mnawafikiaje maana nao ni wateja wenu na wana haki ya kujua sababu ya katizo la umeme. Hoja ya pili ambayo niliuliza kuhusu...
  8. mtokeibwima

    JamiiForums Tanzania KERO Kibiti umeme hauwaki mfululizo zaidi ya saa moja

    Hivi hizi taarifa hadi mchokozwe ndiyo mnazitoa hadharani? Na siyo issue ya leo tu, kila wakati umeme hauko stable. Kukatika katika imekuwa jadi. Rekebisheni hilo tatizo.Kibiti, Rufiji hawajawahi kuwa na uhakika wa umeme. Naanza kuamini hoja moja ilitolewa humu jf kuwa inawezekana nchi yetu ni...
  9. mtokeibwima

    JamiiForums Tanzania KERO Kibiti umeme hauwaki mfululizo zaidi ya saa moja

    Hadi kero, huwezi amini toka umekatika leo saa 7:30 hadi saa hizi haujawaka. Na hakuna chochote walichoeleza kwa wateja wao.
  10. mtokeibwima

    JamiiForums Tanzania KERO Kibiti umeme hauwaki mfululizo zaidi ya saa moja

    Yaani TANESCO KIBITI mnatia aibu sana. Kila siku umeme hauwaki mfululizo zaidi ya saa moja au mawili. Hii haijalishi ni usiku au mchana. Yaani ni mwendo wa washa zima. Mjitafakari sana. Na msivyo na aibu mnasema eti ni miundombinu wakati tangu umeme umeingia wilaya ile haijafika miaka 10. Ni...
  11. mtokeibwima

    JamiiForums Tanzania Wale funza wa miguu waliishia wapi?

    Bado wapo sana tu, haina haja ya wosia. Kisiwa cha Mafia hadi leo funza wapo. Hasa msimu wa maua ya korosho na embe
  12. mtokeibwima

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

  13. mtokeibwima

    JamiiForums Tanzania Utapeli wa Dawa ya 'HIT' katika kuua Mbu

    Umejua kunichekesha. Nilikuwa na stress ila kwa andiko lako mbavu zimeuma. Anyways kwa Sasa hakuna dawa za mbu, ni usanii TU.
  14. mtokeibwima

    JamiiForums Tanzania Afisa Habari Simba: Wachezaji Wanadai Bonus zao Na Club haina Pesa

    Mishahara na bonuses ni VITU tofauti.
Back
Top Bottom