Sema MO29, imepelekea kilio Cha kusaga meno Kwa Samia.
Yaani hii nchi baada ya MO29, naona haiko Sawa kabisa, yaani political psychology ya nchi na wananchi imebadilika.
Nilichojifunza
1. CCM kamwe hawatoingia Tena kwenye uchaguzi bila Chadema.
Chadema kususia uchaguzi kumechangia Kwa 80%...
Tanzania bila vikundi vya uasi kupata siraha polisi wataonea sana watu, ingekuwa ni south America Familia ya Mahita jr, ingekipata ,afu unakuta mke wake ,watoto wake wote wapo hapo Arusha afu mnawaangalia tu eti Mungu yupo, hii nchi bila ya raia kuwa na siraha hatutaheshimiana
Pumbafuu kabisa ACHA kiwake yaani kina Muliro na Mafwele waue watu afu waachwe hao TFF inabidi wapewe Scorpion gun, grenade, Armed vehicles, na RPG, basi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.