Kukosea alikosea pakubwa, lakini Bora alivamia Ili kujipima. Hii vita imeipa somo America, umuhimu wa Drone, na kutovamia hovyo nchi za watu.
Lakini huwezi beza nguvu ya US kijeshi, jamaa kapiga Naval blockade Kwa Iran, na hakuna takataka ya Iran inapita. Kwa nguvu za Iran, sioni nchi tofauti...