Recent content by Mto wa mbu

  1. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole atekwa usiku wa kuamkia leo Oktoba 6

    Narudia familia ya Polepole mkiwabinya kende Mafwele na Mulilo watasema Polepole Yuko wapi
  2. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kunazidi kuchafuka

    Ngombe
  3. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Walimu wa Biashara (Business Studies) Tanga tuliahidiwa kuendelezwa kimasomo, sasa hivi wanatukataa

    Soma uko bilaliful, wewe ulikimbia ualimu then ukarudi kuomba kufundisha, hapo rudi darasani tu
  4. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Kukosea alikosea pakubwa, lakini Bora alivamia Ili kujipima. Hii vita imeipa somo America, umuhimu wa Drone, na kutovamia hovyo nchi za watu. Lakini huwezi beza nguvu ya US kijeshi, jamaa kapiga Naval blockade Kwa Iran, na hakuna takataka ya Iran inapita. Kwa nguvu za Iran, sioni nchi tofauti...
  5. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: Heche Anajua Muenezi wa CCM Sio Size Yake, hasa Katika Mdahalo. Aje na Lema, Boniyai na Sugu

    Sasa aliona wapi debate ya 3 vs 1 ,yaani hao vibaka
  6. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania Ndugu wa Polepole ateta na Askofu!

    Yaani mnajua kabisa Group leader waliomchukua Polepole ni Mafwele lakini mnashindwa kukabiliana na huyo kibaka, Mafwele ana ulinzi gani? Kama Trump kuwa na secret service ila alikoswa kidogo
  7. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania Ndugu wa Polepole ateta na Askofu!

    Majitu mnayajua mnashindwa ku target ata watoto/mke wake
  8. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania Heche: CHADEMA haitafanya maridhiano na CCM bila mpatanishi wa kimataifa

    Si ndo vizuri, Samia alidhiane na Kigaila
  9. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania Iran na nguvu zake alizonazo ameshindwa nini kuvunja US Naval blockade?

    Leo narudia tena Hali ni mbaya sana Iran. Leo hela ya irani ni 2.1m against $1 Naval blockade Trump aliwaza sana, Yaani Kwa hii blockade ameishika kende Iran😁
  10. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Mange vs Meta: Kimataifa zaidi

    Daa kahororo secondary Bukoba, mtu anajisifia wewe ungesoma Dar es Salaam international Academy si ungetamba nchi nzima Ficha ujinga na ushamba wako we kibaka What a fucking nigga
  11. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania Naomba Ushauri: Mdogo wangu amesoma Diploma of Clinical Medicine akapata GPA 2.7, afanyeje kuendelea na masomo bila kurudi nyuma?

    Medicine 💊 ila Tanzania kibaka ana D 4 form four eti anasomea CO
Back
Top Bottom