Recent content by mtitu

  1. M

    MTWARA: Kiwanda cha Dangote chasitisha uzalishaji wa saruji kutokana na gharama kuwa juu

    TULICHONACHO HATUKITUNZI AU HATUKIITAJI Mmmh ! LAKINI BADO TUNAITAJI Viwanda vingine ....Tunawafundisha nini wawekezaji tunaowatafuta kila kukicha........TANZANIA NI YA VIWANDA Inawezekana ! . Nakupenda mama Tanzania.......
  2. M

    Bodi ya Mikopo(HESLB) waachia majina ya wadaiwa sugu kuanzia mwaka 1994 hadi 2014

    Kweli kabisa inaonyesha jinsi gani watu walivyo vilaza..............TUTAISOMA NAMBA - 2020.........Sijui JK aliwezaje kuongoza katika kipindi chake pesa zilitoka wapi.. watu walisoma na kupata mikopo bila matatizo... Mungu atusaidie kwa style hii ni kazi sana kuendelea... we need strategic...
  3. M

    Wasifu (CV) wa Freeman Mbowe huu hapa...

    Ktk siasa yetu Tz hiyo CV inakusaidia nn ...ww .............Unajua CV za Madiwani na Wabunge au Viongozi wa CCM....??? wa Darasa la Saba wangapi.....Ni uwezo wa mtu unamata..na hekima this is bushit .............politics.... Wat about urs....fool ?
  4. M

    Rangi Nyekundu kwenye bendera ya CHADEMA ina maana gani?

    Ww unafikiri Rangi Nyekundu inamaana gani ????? Udugu wa damu au ?............
  5. M

    Miaka 50 ya uhuru

    MIAKA50 YA UHURU: TULIKOTOKA, TULIPO NA TUNAKOKWENDA (KWA MAJADILIANO KATIKA STARTV: 03/12/2011) Prof. Mlambiti, M. E. Utangulizi Katika kujadili mada hii, nimeona niegemeekwa kujadili eneo moja la muhimu katika mchakato wa maendeleo ya nchi kiuchumi.Eneo hilo ni uongozi wa kitaifa wa...
  6. M

    GE2010 Kumbe kuna wabunge kumi wa chadema hawajatoka Bungeni Rais alipokua akihutubia bunge

    if at all kunawambunge 10 ambao hawakutoka wakati wa hutuba ya JK, imeonyesha udhaifu wao au hali ya mtazamo wao ktk ktk mambo ni tofauti na wengine... lkn walichokifanya the rest kutoka nje niajmbo Bora kuonyesha kuwa hawakuridhia mambo fulani ktk uchaguzi pia .... kuwa tayari kushow the word...
  7. M

    Mpenzi wako anakutumia sms hii...! Utamjibuje...!

    nitamwambia nampenda sana.... and i will always love her nimemsamehe kama kuna lolote alinikosea ages ago... na nitamuomba yeye anisamehe mimi pia... na kumtakia safari njema atuandalie makazi...huko aendako...
Back
Top Bottom