Recent content by mtiro wa papaa

  1. mtiro wa papaa

    Mtumishi wa Umma fanya kazi kwa uaminifu unaweza kupelekwa Mahakamani hata kama umestaafu

    kwenye ununuzi wa kile kivuko sheria na taratibu zilizingatiwa ???
  2. mtiro wa papaa

    Bundi analia juu ya mpapai wangu

    unakaribia kupotezwa na wadiojulikana!!! punguza harakati!!!!
  3. mtiro wa papaa

    Tunapenda pombe lakini pombe hii itatutia ukichaa

    kifo kisababishwacho na ulevi huu hutokea ghafla sana !!!!!
  4. mtiro wa papaa

    Ni suala la muda tu. Hili la Davis Mosha litaondoka na mtu

    UNAPOENDA OFISI ZA WATU UENDE KWA ADABU NA SIO KWENDA KUONESHA UBABE KUTOKANA NA NAFASI ULIYONAYO.sio kila mtu anakutambua kama ofisa wa serikali!!
  5. mtiro wa papaa

    Wapenzi wa Tundu Lissu wanafiki sana amelalamika usalama wake hata kujitolea kumlinda hakuna eti leo wanamlilia!!

    POLISI NI WAPENZI WA LISU ? USALAMA WA RAIA NA MALI ZAO NI JUKUMU LA POLISI NA SIO VIKUNDI AU VYAMA VYA SIASA .
  6. mtiro wa papaa

    Kwanini Wizara iitwe, "Ofisi ya Rais" hizi nyingine hazipo chini ya Rais?

    kimsingi raisi ndie waziri wa hizo wizara......!!!
  7. mtiro wa papaa

    Mfahamu mchawi aliyekoswa na kitanzi mara 3

    ....hahahaha....usijali MUNGU yupa pamoja nawe mchawi....kwenye neno MUNGU kasema usiache mwanamke mchawi aishi....sijui ni MUNGU kweli au uchawi utakuwa pamoja nawe !!
  8. mtiro wa papaa

    Kwanini kutoza mahali kwa wakristo ni utamaduni wa kipagani na sio agizo la Mungu

    Kama huna uwezo wa kulipa mahari omba usaidiwe.mahari ni lazima na sio hiari.soma biblia kwa umakini na kwa msaada wa roho mtakatifu usisome kama gazeti la uhuru na mzalendo.ukikubali kuwa mkristo fanya kama maandiko yatakavyo .
  9. mtiro wa papaa

    Ni ujeuri tu au 'Jiwe' hana cha kupoteza?

    YEYE ANAPATA ZAKE ZA KUTOSHA HAO WENGINE WAISOME NUMBER !!!
  10. mtiro wa papaa

    MWANZA: Wanawake wanne waokotwa wamekufa wakiwa na alama za za kunyongwa huku wakiwa hawana baadhi ya viungo

    ZILE NYAKATI MBAYA...nasikia hasa nyakati za chaguzi.! kuna uhusiano au uzushi tuu??
  11. mtiro wa papaa

    Namanga: Bodaboda Kenya v/s Polisi Tanzania

    wakizubaa atakutwa keshapasuliwa yai !
Back
Top Bottom