Write your reply...habari wakubwa. nami nahitaji na napenda sana kazi hii ya ufundi wa sim ila sjui nianzie wapi. kuna wazo lilinijia kwamba nitafute fundi mzoefu kisha nimwombe anifundishe kwa muda. sasa sjui wazo langu liko sawa au. nifanyaje. naombeni mnisaidie nifanyajeeee.
Write your reply...Habarini wakubwa. pia namm nahitaji kufanya biashara ya photo studio. sasa naombeni mnitajie vifaa vinanvyo takiwa pamoja na bei zake. ili nichek kama mtajiwangu utafika nifanye kama bado. nijipange.ahsante saanaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.