kama angekuwa ni jk ana nyumba marekani, uingereza, afrika kusini, na dubai, cjui mngesemaje!! maana chadema kwa kujadili watu wengine ndo sera zao. na sasa mnamjadili zito, badala ya kujadili mapato na matumizi ya chama chenu. mkija kushtuka mmetafunwaaaa