Uliambiwa lakini ukajifanya huambiliki eti unataka mwanamke mfanya kazi ili musaidiane maisha, hayo ndo Maisha yenyewe!!
Mimi Nina Miaka 16 kwenye ndoa sijawahi kujutia. Nikirudi kazini nakuta kila kitu kiko BAM BAM na Mtoto anakuja kupokea lasket, Pole kama zote.
Asikuambie MTU, ndoa tamu
Katika Maisha, suala la kukata tamaa ni dhambi kubwa Sana! Hata hivyo imelinganishwa na Mtu alisafiri hadi katikati ya msitu halafu akajichimbia shimo la kutosha na kujizika mzima mzima, haiko hivyo. Hakuna biashara/kazi nyepesi Duniani lazima upambane hadi tone la mwisho la damu. Utawaza kwenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.