Ni vizuri kuwa na Umoja wa Vijana lkn tatizo tulilokuwa nalo ni hao vijana kutoka ktk hizo taasisi ulizozitolea mfano. Wao wataweka maslahi ya vyama vyao mbele kuliko huo umoja. Uwezekano upo kwa wale vijana waliokuwa hawana vyama.
Kitila alisema ktk waraka kuwa zinapokuja chaguzi matokeo huwa tofauti na tamaa za wanachama kabla ya uchaguzi. Tujiulize since 2010 CDM imeendelea vp zaidi ya kuchukuwa CCM rejects na kupigwa bao kila chaguzi zinapofanyika. Same strategies will not win elections.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.