Recent content by MTH

  1. M

    Kwa sera hizi ndiyo maana CHADEMA wameshindwa

    hizo ndio siasa za Tz. Hakuna sera zaidi ya porojo tu.
  2. M

    Umoja wa vijana nje ya vyama vya siasa!

    Ni vizuri kuwa na Umoja wa Vijana lkn tatizo tulilokuwa nalo ni hao vijana kutoka ktk hizo taasisi ulizozitolea mfano. Wao wataweka maslahi ya vyama vyao mbele kuliko huo umoja. Uwezekano upo kwa wale vijana waliokuwa hawana vyama.
  3. M

    CHADEMA kuimarika zaidi; inajipanga kwa sasa!

    Mjenga leo umeleta uzi.
  4. M

    Serikali Yawakopa Walimu Wapya Pesa Zao Za Kujikimu

    wanalipana katika bunge lao la matusi
  5. M

    Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Kinana aitingisha Wilaya ya Nkasi, Rukwa.

    Wakulaumiwa Cdm, maana ccm walikuwa hawapumui lkn ss hv wamepata mlango wa kutokea.
  6. M

    Kikwete: Sina tatizo na uwepo wa Serikali tatu Tanzania!

    Tusiwaamini wanasiasa.
  7. M

    CHADEMA ikiingia Ikulu, CCM ifutwe

    Afsa umesema kweli lkn si utawala bora huo. Wacha Sheria zichukue mkondo wake.
  8. M

    Matokeo ya Uchaguzi wa Udiwani Feb 09, 2014: CCM yaibuka kidedea!

    Watu wale wale na siasa zile zile unategemea ushindi hapo?
  9. M

    Yaliyojiri katika Uchaguzi wa Udiwani kata 27 na Matokeo - Feb 9, 2014

    Kitila alisema ktk waraka kuwa zinapokuja chaguzi matokeo huwa tofauti na tamaa za wanachama kabla ya uchaguzi. Tujiulize since 2010 CDM imeendelea vp zaidi ya kuchukuwa CCM rejects na kupigwa bao kila chaguzi zinapofanyika. Same strategies will not win elections.
Back
Top Bottom