Recent content by Mtewele isaya

  1. Mtewele isaya

    Najishughulisha na biashara ya mchele kutoka Ifakara kwenda Dar, mwenye uhitaji anitafute

    Nije nipime mpunga uchukue hela yako chap kusafirisha gharama yangu mwenyewe
  2. Mtewele isaya

    Najishughulisha na biashara ya mchele kutoka Ifakara kwenda Dar, mwenye uhitaji anitafute

    Poa hamna shidah au nije nipime mpunga tu. Hapohapo miwangani
  3. Mtewele isaya

    Najishughulisha na biashara ya mchele kutoka Ifakara kwenda Dar, mwenye uhitaji anitafute

    1200 mchele wa kawaida inabadilika kutokana na aina ya mchele mpaka 1800
  4. Mtewele isaya

    Najishughulisha na biashara ya mchele kutoka Ifakara kwenda Dar, mwenye uhitaji anitafute

    Naitwa isaya mtewele kwa sasa napatikana ifakara najishughulisha nakupoint mchele kutoka hapa ifakara kwenda dar kwa mwenye uhitaji anaweza nicheki kwa namba 0719003163
  5. Mtewele isaya

    Natafuta Kijana wa Mauzo-Iringa

    Habari za kazi ndugu mpo iringa sehemu gani na ni kowanda cha biidhaa gani
  6. Mtewele isaya

    Natafuta kazi lakini pia nina uzoefu na usimamizi kwenye vifaa vya ujenzi

    Naitwa isaya mtewele elimu yangu ni kidato cha nne natafuta kazi lakini pia nina uzoefu na usimamizi kwenye vifaa vya ujenzi kwa maana nimefanya kazi ya usimamizi kwenye duka la vifaa vya ujenzi miaka mitano hivyo kama kuna kampuni au shirika. Binafsi linalojihusisha na uuzaji wa vifaa vya...
  7. Mtewele isaya

    Angalizo: Wanaoweka matangazo ya kutafuta Kazi

    Naitwa isaya mtewele natafuta kazi yeyote nina elimu ya kidato cha nne lakini pia nimefanya kazi ya usimamizi kwenye duka la vifaa vya ujenzi kwa miaka 5 nina uzoefu pia kama kuna kampuni la vifaa vya ujenzi au linalojihusisha na ujenzi pia naweza kuwa balozi wao kwa kutangaza bidhaa zao...
  8. Mtewele isaya

    Mambo muhimu niliyojifunza katika maisha yangu ya kuajiriwa

    Habari zenu wana JF naitwa isaya mtewele nimjasiriamali/mfanyabiashara mdogo natafuta kazi au tenda au hata day worker maana biashara yangu imeenda mama 0719003163
  9. Mtewele isaya

    DOKEZO Ukikodisha Bodaboda usiku Dar uwe na chenji kamili, la sivyo yatakukuta yaliyonikuta

    Hapo huenda alikuwa anajihami na nauli uliyotoa huenda ndio moja mbinu za wahuni huko barabarani
Back
Top Bottom