Recent content by Mtetezimtanzania

  1. M

    RC Chalamila aapa kurejesha mabasi yote yaishie Stand ya Magufuli

    Bus zote zinaingia stand huyo aache wehu
  2. M

    Mbwembwe za DP World, kwa kuanzia tu wanawekeza Dola milioni 500 bandari ya Dar

    Kwan umeambiwa serikali haiwez kufanya Hayo Mpka Hao DP world hiyo trion 1.3 serikali inayo kuweza kufanya Hayo yote na bandari ikaendeshwa na TPA Kwa kuweka watu weny weredi na kuwawajibisha wote wazembe , Sio lazima Kila kitu wafanye wageni ,serikali IPO na inaweza kuwekeza Pesa yoyote na...
  3. M

    DP World anapewa kazi ya kupakua na kupakia Makontena tu, sio Bandari yote ya Dar wala si nje ya Dar

    Kwani maneno Yako ni mkataba 😃😃😃😃 dp world anapewa bandari kuiendesha , unajua Maana ya kuendesha au ujui , km ujui Rudi Shule alafu ukija uje na ugolo wako , kwann tupakue na kupakia kotena laki 7 ni Kwa sababu hatuna vifaa vya kisasa , km tumekopa na kujenga bandari Kwa tr 1.4tunashindwa...
  4. M

    Asante Rais Samia, sisi wavuvi wa sangara na wafuaji sasa tutauza bidhaa zetu Comoro

    Ndege Samia kaitoa wapi , hiyo ndege ilinunuliwa na magu ata km hamtaki , Samia hajui ata Bei yake
  5. M

    Mwanafunzi wa Feza ashangaa wanaofeli mtihani wa NECTA

    Yupo SAWA wanaofeli lazima awashangae maaana ni wazembe mitihani ni rahisi Sana Kwa mwanafunzi anaesoma Kwa bidii
  6. M

    Bado ni kitendawili waliofaidi mabilioni ya Justine Kasusura

    Pesa ziliingia kampuni ya mabibo wine and spirits ya rugemalira na ndo walisinamia kesi mpka akatoka na jamaa anaendelea kula mpunga Hadi Leo anaishi kitajiri ,
  7. M

    Bado Makamu wa Rais Philip Mpango yuko ofisini?

    Kwanza umeandika ugolo nawashangaa Watu mlivyo wagumu wa kupambanua mambo hv mpango na JPM wanahusika VP kweny vipande ambavyo vimesainiwa wakati wa Samia , suala la kusema Kuna kipengele kweny mkopo ambacho kinasema kampuni Fulani ipewe kandarasi kwann hiyo kampuni waipe Kwa Bei ya juu wakati...
  8. M

    Rais Ruto kukimbilia Tanzania?

    Kwa Hiyo tz lini uliona jwtz wakiwa barabarani kutuliza ghasia au kuzuia maandamano
  9. M

    Katika Picha hawa ni PMC Wagner Group, kikundi tishio kwenye medani za vita.

    Hilo ni jeshi kamili japokuwa linamilikiwa na mtu binafsi lkn ni jeshi kamili ambalo Lina Kila idara , Hawa ndo wapo Libya , Africa ya kati , Syria, na maeneo yote Ambayo mnaona urusi inatuma askari wanaoenda sio jeshi la urusi Bali ni hao Wagner group, hao Wana askari 80,000 na wanafanya KAZI...
  10. M

    Lissu Kuhamia ACT Wazalendo? Muda utaamua

    Yaani uhame chama kikubwa uende chama kidogo uko atakujua Nan , lissu anajulikana Kwa sababu ya chadema , yaani chadema ni kubwa kuliko lissu hvyo akihama ndo kwisha , ila akihamia CCM uko anatoboa
  11. M

    Aliyekubali Switch za bwawa la umeme la Rusumo Tanzania zikawekwe Rwanda ametumia akili zake ipasavyo?

    Huo ni mredi wa nchi tatu Rwanda , Burundi na Tanzania maana uwez kuzalisha umeme nchi Moja wakati mto unamilikiwa na nchi tatu hvyo hayo ndo makubaliano na umeme hauna mahusiano yoyote na mambo ya bandari zenu ata mkipigana vita hakuna mweny uhalali wa kuzima huo umeme
  12. M

    Aliyekubali Switch za bwawa la umeme la Rusumo Tanzania zikawekwe Rwanda ametumia akili zake ipasavyo?

    Mradi ni WA nchi 3 Tanzania , Rwanda na Burundi , power house IPO Tanzania , switch yard IPO Rwanda kweny mlima , alafu umeme ndo unagawanywa Hapo kwenda tz , Burundi na Rwanda , mradi wa nchi tatu haiwezekani Kila kitu kiwe kwako , tz akizima mitambo kweny power house hawez kuupata umeme Kwa...
Back
Top Bottom