Recent content by Mtenda

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mgomo wa Madereva wazimwa na Waziri Kabaka

    Lakini wakati huo tayari watu washaumia sana.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Tanzania govt on Homosexuality: We can do without UK aid

    Hiyo kauli nyepesi sana! KUTOKUTAMBUA MASHOGA ni jambo moja na KUPIGA MARUFUKU(KISHERIA) ni jambo lingine.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Monduli asimamishwa uongozi mara moja

    CHADEMA wasipoweza kufanya maamuzi magumu kama haya sasa, Basi hata wakipewa mamlaka ya kuongoza nchi hawataweza. Watakuwa wanakumbatia mafisadi kama tunavyoona serikali hii iliyopo madarakani.
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume vijana 20's-35 wanaboa sana!

    vijana wengi wa umri huo ndo wapo fiti na ndio sababu hata ma-sugar mummy wanawapenda. ila sema wewe dada ni miongoni mwa wale ambao hata ukeshe nae usiku kucha hafiki kileleni so ni vigumu kwa vijana hao kukufikisha mtu kama wewe.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mtu asiyejulikana agawa fedha jijini Dar

    kituo gani?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Inasemekana kundi la Sitta litaunganisha nguvu na CHADEMA kama CCM itamsimamisha Lowassa

    Inawezekana kabisa wakamsimamisha tu,
Back
Top Bottom