Recent content by Mtemi Mbojo

  1. M

    JamiiForums Tanzania Wazanzibari acheni kelele. Zanzibar sio dola huru. Pambaneni kuwe na serikali tatu.

    Mleta UZI inawezekana una HOJA nzuri, ila umekuwa na haraka..hebu tulia na uje tena,ukiwa umejipanga vyema
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mwigulu aje hapa akanushe kuwa Lissu alipopigwa risasi Magufuli hakumwambia atangaze serikali haihusiki akakataa kufanya hivyo na Magufuli akamchukia!

    Okay ila hebu na wewe leo, tueleze..ni nani alitoa AMRI ya kuwatoa wale walinzi?,mbili, ni nani aliyeficha/ondoa zile CCTV camera, maana inaonekana unafahamu mengi
  3. M

    JamiiForums Tanzania Basi la Abood lagongana na IST wakati dereva 'aki-overtake', Watu wanne wafariki Dunia

    Duh , masikini...mbona waafrika tunauana hivi?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Jussa: Siyo kila kitu tukimbilie wasuluhishi wa nje

    Yaani huyu jamaa amekuwa wa HOVYO kweli siku hizi..ni wakuupuuzwa tu
  5. M

    JamiiForums Tanzania Othman Masoud: Rais anachagua Tume ya Uchaguzi alafu anasema na yeye ni mgombea

    Akili zimeanza kurejea??..mtaelewa tu kwamba NO REFORMS NO ELECTION WAS A RIGHT MOVEMENT!.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Salum Mwalimu: Wazee wameanza kuogopa kuongea, mambo yameanza kubadilika

    V8 amerudisha kwanza?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mwigulu asijiuzulu ili kunusuru Roho yake?

    Hata fununu za YUDA zilianza hivi hivi..ngoja tusubiri
  8. M

    JamiiForums Tanzania Katambi ana mamlaka gani kusamehe wasanii? Waliotenda makosa hayo na kufungwa jela watasamehewa na nani?

    Katambi umekuwaje siku hizi?..una kauli TATA (kisheria) siku hizi.. au ni kweli kwamba ukiwa huko, brain haihitajiki sana
  9. M

    JamiiForums Tanzania Philip Mangula: Magufuli alitaka kujiondoa kwenye mizunguko ya kutafuta wadhamini kisa wenzake walikuwa wanatoa pesa

    Tunashukuru kwa kuzidi kutuaminisha kwamba CCM na RUSHWA ni Pipa na mfuniko..asante Katibu Mkuu Mstaafu!
  10. M

    JamiiForums Tanzania Bashungwa, Ukiwa Waziri mambo ya Ndani, Watanzania walishuhudia Mauaji ya Watanganyika Oktoba 29 2025. Kaa kwa kutulia, Achana na Nchimbi!!

    Duh, kulikoni?..au na yeye anachunguzwa?,,, angekaa kwa kutulia..upepo kwa upande wake haupo vizuri...
  11. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hata mkiua mashahidi kama Kenyatta na Rutto walivyofanya mwaka 2014, hamuwezi kupona mwaka 2026

    ILA NDIO UKWELI MCHUNGU...Lile lilikuwa TUKIO BAYA sana katika historia ya nchi yetu..watu lazima wawajibike na kuwajibishwa
  12. M

    JamiiForums Tanzania Bashungwa, Ukiwa Waziri mambo ya Ndani, Watanzania walishuhudia Mauaji ya Watanganyika Oktoba 29 2025. Kaa kwa kutulia, Achana na Nchimbi!!

    Kijana , ungefanya utaratibu urudi tu US... yale mauwaji ya halaiki ya October 29 sio suala dogo,..na halitopita kama mnavyojidanganya
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kisaikolojia ukijinadi wewe sio muoga uhalisia wake wewe ni muoga

    Pia kuna tofauti ya MKWELI na MUOGA!
  14. M

    JamiiForums Tanzania Lissu: Msije gerezani usiku kunitembelea njooni mahakamani

    Endeleeni kumzonga zonga , atawaumbua!!!...huyo kanyooka zaidi ya RULER
Back
Top Bottom