Sahihi...hili suala la Mo29, CCM isipokuwa makini, itakwenda na MAJI...hili lilikuwa ni tukio kubwa sana kwa nchi yetu,hatukuwahi shuhudia hili,hatujazoea MAUAJI..ni DOA KUBWA..kitakachowaokoa ni kuwawajibisha wote waliohusika, hata kama ni namba 01,ikibidi...la sivyo mtazama nyote...time will tell
Huyu bwana Kihiyo hakuwahi kufanya kazi kwenye sekta ya Usalama na Ulinzi wa Raia ,yeye alihudumu katika Mhimili wa Bunge, kama mwakilishi wa Jimbo la Temeke, 1995-1997( kama sijakosea),ila baada ya kuona anakwenda kuvuliwa Ubunge kwa kudanganya kuhusu Elimu yake,kwamba ni Mhitimu wa Chuo cha...
CDM ni HAKI, MAENDELEO, UKWELI ,UWAJIBIKAJI, KATIBA MPYA, TUME HURU YA KWELI YA UCHAGUZI, MAHAKAMA NA BUNGE HURU...kama hupendi haya, basi wewe ni CCM Masalia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.