Recent content by Mtemi Mbojo

  1. M

    JamiiForums Tanzania Muhula wa Mwisho!Tujiulize kwanini Mama anapigana sana kuzuia katiba

    Ngoja yule Simba aachiwe J3 (na wote tuseme ameen)..shughuli ianze...hakuna kulala hadi KATIBA BORA ipatikane
  2. M

    JamiiForums Tanzania Haji Manara aendelea Kumkalia Kooni Heche baada ya kusema Simba na Yanga zinatumiwa kisiasa

    Hebu relax mh "diwani", nadhani hujamuelewa uzuri Mh Makamo, alichomaanisha wengi wetu sisi Watanganyika, imekuwa mpira kwanza, na si SIASA kwanza,..tubadili vipaumbele vyetu...shida sisi tumelalilia kwenye MPIRA zaidi, kuanzia asubuhi, mchana, jioni na usiku ,24/7..redioni, tv, na hata online...
  3. M

    JamiiForums Tanzania WAKILI MAARUFU MADELEKA KUPEWA KESI YA UGAIDI ?

    Ni kama yupo kazini vile..CDM kuweni nae makini huyu mtu...hata yule Mwenyekiti wenu la baraza la Wadhamini, Mama Mollel, nendeni nae kwa umakini..Haiwezekani mtu alishakuwa KM Utumishi, eti aende tofauti na Serikali..sidhani
  4. M

    JamiiForums Tanzania Shamba la Ekari 2 linauzwa. Lipo Masugusugu eneo linaitwa Saeni

    NimekuDM Mkuu
  5. M

    JamiiForums Tanzania Lissu ana hoja: DPP haheshimu amri za mahakama

    Naona kama Janja Janja ya Mawakili wa upande wa serikali , inafikia mwisho soon..ila Jtatu sio mbali, kutafika tu
  6. M

    JamiiForums Tanzania Nimjuavyo Samia, Hawezi Kufanya Hayo Wanayotaka Wao

    Yote kwa yote ,hili la MAUAJI YA KIMBARI YA Oct 29/2025 ni DOA kubwa sana kwenye ardhi ya Mama Tanzania...lazima SAMIA na CCM yake wakubali mabadiliko makubwa ya kimfumo wa Uchaguzi, mfumo wa haki, uhuru wa habari , na hatua ya mwanzo kabisa baada ya hayo mavikao yao, ni kutupatia KATIBA BORA
  7. M

    JamiiForums Tanzania Miaka kadhaa nyuma Usimkatie tamaa Mtoto/kijana wako?

    Dah , ni kama umeniandikia Mzazi mimi..asante kwa ushuhuda huu Mwl.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Chief Justice na Mahakama: Hili la Mawakili kuongea na vyombo vya habari viunga vya mahakama ndilo tatizo kubwa la judiciary?

    Yaani hadi unajiuliza ,hivi hata kwa wenzetu huko,hii hii Afrika nako kuna huu UPUUZI?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Hii inamhusu Ali Hapi na wenzake wanaotopoka upuuzi.

    Yaani huyu kijana Hapi hata mimi ninamshangaa, siku za hivyi karibuni amekuwa ANAROPOKA kweli!
  10. M

    JamiiForums Tanzania Update kesi ya Lisu Naona Leo wamefungua box la Pandora la tarehe Ile mbaya kuliko zote tangu tupate uhuru Bora tufanye maridhiano

    Hapo nadhani anamuexpose kwa Majaji, waone alivyo muongo, asiaminike ( najaribu tu kuwaza kwa sauti)
  11. M

    JamiiForums Tanzania Most probable issues raised by TEC with the president, and if not, then TEC?

    Kwa kuwa Padre Kitima nae alikuwepo, naamini hivyo...Mara zote Katibu ndio huwa muandaa agenda kwenye mission or kikao chochote, na uzuri huyo Mnyampaa hajawahi KUYUMBA
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mwenye update ya kesi ya Lisu atuwekee hapa. Naona Hilda "amekabwa koo"

    Twende ukurasa wa BBC Swahili facebook kuna hizo dodoso(cross examination) nzuri kabisa
Back
Top Bottom