Hebu relax mh "diwani", nadhani hujamuelewa uzuri Mh Makamo, alichomaanisha wengi wetu sisi Watanganyika, imekuwa mpira kwanza, na si SIASA kwanza,..tubadili vipaumbele vyetu...shida sisi tumelalilia kwenye MPIRA zaidi, kuanzia asubuhi, mchana, jioni na usiku ,24/7..redioni, tv, na hata online...