Recent content by Mtemi Mbojo

  1. M

    JamiiForums Tanzania Zungu: Kuna Kundi la Utoro Bungeni, Waliokwenda Morocco bila Kibali wachukuliwe hatua

    Naona jamaa ,anaona kama Jamii ilimsahau, ngoja asikike kidogo..
  2. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mchungaji Msigwa: Huwezi kutumia Risasi Kuonya Vijana

    Sahihi...hili suala la Mo29, CCM isipokuwa makini, itakwenda na MAJI...hili lilikuwa ni tukio kubwa sana kwa nchi yetu,hatukuwahi shuhudia hili,hatujazoea MAUAJI..ni DOA KUBWA..kitakachowaokoa ni kuwawajibisha wote waliohusika, hata kama ni namba 01,ikibidi...la sivyo mtazama nyote...time will tell
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kikwete ana changamoto zake ila ndiyo Rais bora kuwahi kutokea nchi hii

    Sio Che Nkapa?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Kutekwa kwa Djumbe ni Michezo na haijaanza Jana

    Mmmmh..inashangaza
  5. M

    JamiiForums Tanzania Wageni anaowaleta Makonda watatumika na vijana wa mtandaoni kuelezea maovu ya Tanzania

    Shida ya kuwa na WATAWALA wa Elimu ya hapa na pale + kutokuwa na Elimu
  6. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kwanini ananyamazia matukio ya Utekaji?

    Pingu sio zenu, sawa ,vipi kuhusu hizo silaha za Kivita??
  7. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hatimaye CHADEMA yaanza kuwapandisha Majukwaani Waathirika wa Mauaji ya Oktoba 29 !!.

    Kumezidi kuchachuka..ila hii MOVE ni sawa tu, ilikuimbua tume ya "mchongo" ya Jaji Chande
  8. M

    JamiiForums Tanzania Neno 'MAFWELE' lirasimishwe na BAKITA, litumike kuashiria 'MAOVU'

    Huyu bwana Kihiyo hakuwahi kufanya kazi kwenye sekta ya Usalama na Ulinzi wa Raia ,yeye alihudumu katika Mhimili wa Bunge, kama mwakilishi wa Jimbo la Temeke, 1995-1997( kama sijakosea),ila baada ya kuona anakwenda kuvuliwa Ubunge kwa kudanganya kuhusu Elimu yake,kwamba ni Mhitimu wa Chuo cha...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Interpol kutoa Tamko la "MOST WANTED" dhidi ya MAFWELE kwa kitendo chake cha kufanya Ugaidi dhidi ya Wananchi wa Uganda

    Kwa hakika IMAGE yetu inazidi kuchafuka haswaa...wawe wanaomba HEKIMA +AKILI basi, kama kweli wanasali
  10. M

    JamiiForums Tanzania Siasa zetu za vyama zimefika saturation point kwa CHADEMA

    CDM ni HAKI, MAENDELEO, UKWELI ,UWAJIBIKAJI, KATIBA MPYA, TUME HURU YA KWELI YA UCHAGUZI, MAHAKAMA NA BUNGE HURU...kama hupendi haya, basi wewe ni CCM Masalia
  11. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mary Chatanda: Samia angenipa nchi dakika moja, ningeimaliza CHADEMA

    Ni mmoja wa wajumbe wa Kamati kuu ,chama Twawala,..yaani ni mmoja wa washauri wa namba moja ..KAZI KWELI KWELI
  12. M

    JamiiForums Tanzania POLISI tafadhali mshughulikie huyu anahatarisha Amani yetu, isiwe mnaiona Chadema tu ingawa Chadema haijawahi hatarisha Amani

    Na ndio mshauri wa Mwenyekiti kwa mambo ya wamama chamani..kazi kweli kweli
  13. M

    JamiiForums Tanzania Serikali Imesema inatekeleza Sheria ya Afya ya Jamii ambayo inamtaka mtoa maudhui, mada au matangazo yanayohusu afya kupata kibali

    Kibano kiongezwe kwa hao wapotoshaji..yaani kama yule Prof yule, Mungu anamuona
  14. M

    JamiiForums Tanzania Nape adai Januari Makamba ana akili sana

    Alikuwa anajiweka karibu na Kingmaker
Back
Top Bottom