Akili zimeanza kurudi enhee??... ungama, fuata taratibu na urudi kundini, ila ndio utakuwa mwanachama wa kawaida kwa kipindi kisichopungua miaka kumi(10)..kipindi cha matazamio
Sasa ili huyo bwana Heche na ukoo wake, wasiendelee kufaidika na kushikiriwa kwa ndugu LISSU, MUACHIENI asap...tuone atafanyaje?..nje ya hapo ni POROJO tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.