Recent content by Mtemi Mbojo

  1. M

    JamiiForums Tanzania Katambi ana mamlaka gani kusamehe wasanii? Waliotenda makosa hayo na kufungwa jela watasamehewa na nani?

    Katambi umekuwaje siku hizi?..una kauli TATA (kisheria) siku hizi.. au ni kweli kwamba ukiwa huko, brain haihitajiki sana
  2. M

    JamiiForums Tanzania Philip Mangula: Magufuli alitaka kujiondoa kwenye mizunguko ya kutafuta wadhamini kisa wenzake walikuwa wanatoa pesa

    Tunashukuru kwa kuzidi kutuaminisha kwamba CCM na RUSHWA ni Pipa na mfuniko..asante Katibu Mkuu Mstaafu!
  3. M

    JamiiForums Tanzania Bashungwa, Ukiwa Waziri mambo ya Ndani, Watanzania walishuhudia Mauaji ya Watanganyika Oktoba 29 2025. Kaa kwa kutulia, Achana na Nchimbi!!

    Duh, kulikoni?..au na yeye anachunguzwa?,,, angekaa kwa kutulia..upepo kwa upande wake haupo vizuri...
  4. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hata mkiua mashahidi kama Kenyatta na Rutto walivyofanya mwaka 2014, hamuwezi kupona mwaka 2026

    ILA NDIO UKWELI MCHUNGU...Lile lilikuwa TUKIO BAYA sana katika historia ya nchi yetu..watu lazima wawajibike na kuwajibishwa
  5. M

    JamiiForums Tanzania Bashungwa, Ukiwa Waziri mambo ya Ndani, Watanzania walishuhudia Mauaji ya Watanganyika Oktoba 29 2025. Kaa kwa kutulia, Achana na Nchimbi!!

    Kijana , ungefanya utaratibu urudi tu US... yale mauwaji ya halaiki ya October 29 sio suala dogo,..na halitopita kama mnavyojidanganya
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kisaikolojia ukijinadi wewe sio muoga uhalisia wake wewe ni muoga

    Pia kuna tofauti ya MKWELI na MUOGA!
  7. M

    JamiiForums Tanzania Lissu: Msije gerezani usiku kunitembelea njooni mahakamani

    Endeleeni kumzonga zonga , atawaumbua!!!...huyo kanyooka zaidi ya RULER
  8. M

    JamiiForums Tanzania Henry Kilewo: CHADEMA ya sasa sio ile iliyopita, hii achaneni nayo

    Akili zimeanza kurudi enhee??... ungama, fuata taratibu na urudi kundini, ila ndio utakuwa mwanachama wa kawaida kwa kipindi kisichopungua miaka kumi(10)..kipindi cha matazamio
  9. M

    JamiiForums Tanzania Heche: CHADEMA haitafanya maridhiano na CCM bila mpatanishi wa kimataifa

    Sasa ili huyo bwana Heche na ukoo wake, wasiendelee kufaidika na kushikiriwa kwa ndugu LISSU, MUACHIENI asap...tuone atafanyaje?..nje ya hapo ni POROJO tu
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mapya yaibuka, Mali za Gertrude Rwakatare. Watoto wake waingia kwenye mgogoro mzito

    Duh..kazi kweli kweli!
  11. M

    JamiiForums Tanzania Malisa akamatwa na Polisi, Namanga na kupelekwa kusikojulikana

    Ndio ATEKWE??..
  12. M

    JamiiForums Tanzania Malisa akamatwa na Polisi, Namanga na kupelekwa kusikojulikana

    Serikali ya awamu hii na utawala wa sheria, sijui UGOMVI wao utaisha lini?..tuzidi kuwaombea kwa Maulana
  13. M

    JamiiForums Tanzania Dada yangu kipenzi Rais Samia, bila kuwa sawa na CHADEMA utaendelea kutawala kwa tabu mno

    Naunga mkono hoja!.. EGO EGO sio kitu kizuri!
  14. M

    JamiiForums Tanzania Hebu Tazama. Hii Ndiyo 'Cream' ya Uongozi wa Taifa Hili.

    Kazi kweli kweli...naona ni kama watu wasiotaka kukubali NYAKATI...kwa hali ya sasa, lazima wakubali MABADILIKO..muda haupo upande wao tena
Back
Top Bottom