Recent content by Mtemi Amos

  1. M

    Gazeti la jana Mawio liliandika uongo wa Instagram (kuhusu DC Makonda), ombeni radhi now!

    Kwann yeye asimuombe radhi Kubenea kwa kumdhalilisha mbunge aliechaguliwa na wananchi zaidi elfu 80 wakati yeye kapata cheo kwa njia ya kujikomba kwa wakubwa?.
  2. M

    Gazeti la Mawio huu ni udhalilishaji, Nape funga huo ujinga

    Siku zote ucje ukagombana na wana habari tena wanaoandika habari Za uchunguzi watakufukunyua mpaka na sehemu unayolala ikoje,Makonda ameyavuliwa maji nguo hana budi kuyaoga
  3. M

    Magnum Hotel ya Henry Matata, aliyekuwa Meya wa Mwanza, kubomolewa!

    Mm nafurahi sana kubomolewa kwa sababu huyo Matata anajifanya mbabe sana ngoja aisome namba
  4. M

    Kamishna wa Operesheni na Mafunzo CP Chagonja, amehamishwa kwenda Jeshi la Zimamoto

    Acha mambo yako ww ndani ya jeshi la police kuna aina nyingi ya vikosi vikiwa ni pamoja na zimamoto na uokoaji,kutuliza ghasia(ffu),usalama barabarani(traffic) n.k
  5. M

    Mtatiro anapoteza jimbo kirahisi Segerea, CHADEMA wanahusika

    Atatangazazwe ameshinda wakati madiwani wote wameenda Ukawa?.
  6. M

    Yaliyojiri Uwanja wa Bwawani Karatu: Mkutano wa kampeni CCM - Oktoba 5, 2015

    Mbona hizo kadi ulizosema ni nyingi kuliko watu waliohudhuria?,halaf kadi zenyewe ziko wapi?.
  7. M

    Upende usipende Zitto Waziri mkuu awamu ijayo

    Hivi kusimamisha wagombea wengi ndio kushinda?.
  8. M

    Magufuli amtakasa Chenge, amuita shujaa wa mabadiliko!

    Vp hajaongelea mahakama ya ufisadi?.
  9. M

    Shinyanga mjini, wafuasi wa Dr. Slaa wahama CHADEMA

    Ninyi ccm subirieni duduwasha lifike shy ndio mtajua Lowassa ni moto mwingine kwenye nchi hii
  10. M

    Mkutano wa ACT - Wazalendo kuhusu Mgombea Urais, Prof Anna Mghwira kuwa mgombea

    Acha uongo ww Act Siyo chama cha Kwanza kuweka mgombea urais mwanamke mwaka 2005 APPT-MAENDELEO kiliweka mgombea mwanamke.
  11. M

    Ubunge Viti Maalum kupitia UVCCM, Mbona Walioshinda ni Watoto wa Viongozi Pekee?

    5.MARIA KANGOLE Siyo mtoto wa aliekuwa m/kiti wa ccm mkoa wa Arusha,aliekuwa m/kiti wa ccm mkoa wa Arusha na ameachia ngazi anaitwa Onesmo ole Nangole,7.MZINDAKAYA hajawahi kuwa mkuu wa wilaya ya BUSEGA bali ni mtoto wake PAUL MZINDAKAYA ambaye mpaka ni mkuu wa hiyo. Lakn hujakosea hao karibu...
  12. M

    Kanda ya Ziwa ni Lowassa

    Kanda ziwa ipi ulipo ww tofauti na sisi
Back
Top Bottom