Kwann yeye asimuombe radhi Kubenea kwa kumdhalilisha mbunge aliechaguliwa na wananchi zaidi elfu 80 wakati yeye kapata cheo kwa njia ya kujikomba kwa wakubwa?.
Siku zote ucje ukagombana na wana habari tena wanaoandika habari Za uchunguzi watakufukunyua mpaka na sehemu unayolala ikoje,Makonda ameyavuliwa maji nguo hana budi kuyaoga
Acha mambo yako ww ndani ya jeshi la police kuna aina nyingi ya vikosi vikiwa ni pamoja na zimamoto na uokoaji,kutuliza ghasia(ffu),usalama barabarani(traffic) n.k
5.MARIA KANGOLE Siyo mtoto wa aliekuwa m/kiti wa ccm mkoa wa Arusha,aliekuwa m/kiti wa ccm mkoa wa Arusha na ameachia ngazi anaitwa Onesmo ole Nangole,7.MZINDAKAYA hajawahi kuwa mkuu wa wilaya ya BUSEGA bali ni mtoto wake PAUL MZINDAKAYA ambaye mpaka ni mkuu wa hiyo. Lakn hujakosea hao karibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.