Swala la umri wa kuwa mtu mzima linapaswa kupangwa kwa kutegemea jamii na jamii. Tatizo letu sisi ni kwamba huwa tunarithi mambo kutoka kwa wazungu bila kutizama mazingira yetu. FACTS:
1. 21 years ndo legal age ya kunywa pombe Marekani, ila 18 ndo kwa ajili ya kuoa, kuajiriwa jeshini au sehemu...
Wabongo kwa uoga tumezidi. Hivi kama mtu kitu hukijui au hukiwezi kwa nini usikae kimya? Mleta mada achana na baadhi ya wapuuzi humu, wasikutie uoga. Fanya utafiti wao vizuri, tafuta mtu anaeweza kazi alafu fanya ulichokusudia.
Siwezi kuishuku hoja yako, huenda una sababu za msingi na unajua kuwatambua mashushushu. Wanaohusika(TISS) wachunguze zaidi. But kwa upande wa pili, waTanzania tusije tukawa xenophobic kama South Africa...yaani tusianze kuwachukia na kuwahofu wageni wote wanaokuja nchini.
Hatuja sign mikataba ya ushoga....Hakuna mkataba wowote wa ushoga uliopitishwa kimataifa.Tumesign mikataba ya haki za binadamu ambapo moja ya kanuni zake ni kwamba "A person is innocent until proven guilty." Kushtumiana kwa message kwa kosa lolote bila ushahidi alafu watu wanaenda kukamatwa hio...
Yani ukiachana na wanaojitangaza mitandaoni na mitaani,..hivi ushoga unauthibitisha vipi kwa viwango vya ushahidi unaotakiwa mahakani. Utamshtaki mtu kisa fulani kamhisi na kumsemea kwa Makonda. Hivi na huo upimaji unafanyikaje? Inamaana kila aliehisiwa atapelekwa kupimwa....maana kuna watu...
Yani ukiachana na wanaojitangaza mitandaoni na mitaani,..hivi ushoga unauthibitisha vipi kwa viwango vya ushahidi unaotakiwa mahakani. Utamshtaki mtu kisa fulani kamhisi na kumsemea kwa Makonda. Hivi na huo upimaji unafanyikaje? Inamaana kila aliehisiwa atapelekwa kupimwa....maana kuna watu...
Nauchukia sana ushoga lakini nachukia zaidi namna tunavyoweza kuyapa kipaumbele haya maswala tukaacha ya msingi. Watu wanafanya vitu vingi sana vya hovyo wanapo kuwa faraghani. Kwanini tuyajadili haya?? Shida ni pale yanapotoka faragha na kuwa wazi, hapo ndo serikali inapaswa kuingilia kati...
Naamini huyu James delicious ana matatizo ya kisaikologia au hormones. Huenda kazaliwa na chembechembe nyingi za kike, maana kuna watoto wanazaliwa hata na jinsia mbili. Kumfunga haisaidii, kikubwa ni kuzuia watu hawa kujitangaza kwenye mitandao, pamoja na kuwa tafutia tiba sahihi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.