Recent content by mtati pro

  1. mtati pro

    Msaada: Napata maumivu baada ya kumaliza tendo

    ni kwenye mrija(urethra)
  2. mtati pro

    Wakurya na kiswahili

    🤣🤣🤣🤣
  3. mtati pro

    Msaada: Napata maumivu baada ya kumaliza tendo

    nilikua napenda hadi nne ila kwa sasa hivi nikijitahidi sana ni mbili tu na hio ya pili ni ya maumivu yote
  4. mtati pro

    Msaada: Napata maumivu baada ya kumaliza tendo

    Habari za humu ndani wanajamiiforums! niende moja kwa moja kwenye point, Kila nikikutana na mwanamke baada ya kumaliza tendo hua napata maumivu makali kwenye uume. Kwa anaefahamu suluhisho la tatizo hili jamani anisaidie maana hospital nimeenda lakini shida bado haijatatulika.
Back
Top Bottom