Recent content by mtassiwa

  1. mtassiwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mimi mlemavu sina miguu, natumia baiskel, kuna baba mmoja ananijali, Anaishi mtaani kwetu

    Kuna kitu kidogo kiko wrong upande wako laaa sivyooo,,, midia zingekufata sasa ivii…
  2. mtassiwa

    JamiiForums Tanzania Maswali na Majibu tu. Watu wenye IQ kubwa mnakaribishwa.

    Swali langu ni iviii Mtoa mada uliwaza nini kuuliza au kuandika ichii ulicho kipost…???
  3. mtassiwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimefumaniwa,nimepigwa na kuamuliwa kulipa Milioni 1.5 na mngoni wangu

    oyaaa za kuambiwa nimechanganya na zangu nimekundua kuwa hiii ni chai ya rangi,,, tuma picha tuone wew,mume mwenza wako na uyoo mama chanjaa
  4. mtassiwa

    JamiiForums Tanzania Wametumwa kubomoa miundombinu yetu?

    Niko kwa mama m2 hapa nasubiri jibu,,, ndo nitoke...
  5. mtassiwa

    JamiiForums Tanzania Tuwafanyaje Watanzania ambao hawajawahi kufika Dar es Salaam?

    Sawa mkuuu,,,, na ongera yako kwa kuishi DASALAMAA ,,, ila Mimi ki-binafsi yangu hakuna mahala/jiji silipendi kama DASALAMAA.... X100 nikaishi mkoa wowote ndani TZ hii lakini sio kwa DASALAMAA.....
  6. mtassiwa

    JamiiForums Tanzania Tuwafanyaje Watanzania ambao hawajawahi kufika Dar es Salaam?

    Execute: na wewe wa kuishi VIKINDU unajiesabia uko DASALAMAA
  7. mtassiwa

    JamiiForums Tanzania Leo nimetaka kumtandika Dada yangu vibao mbele ya mume wake. Wanawake wa siku hizi sijui wakoje!

    Aiseeee,,,,, kwa kusema kweli,,,, wew kweli ni KOMEO LA CHUMA.
  8. mtassiwa

    JamiiForums Tanzania Sio kwamba sitaki kukuoa Pamela, embu niambie nitakuoaje?

    YESU mwenyewe halikanwa na YUDA,,, sembuse PAMELA...
  9. mtassiwa

    JamiiForums Tanzania Mambo muhimu unapokaribishwa sehemu

    Usisaau kubeba na mfuko,,,, mazingira yakikaa Sawa weka chakula kwenye mfuko wako sepa...
  10. mtassiwa

    JamiiForums Tanzania Nimepigwa Tsh 200,000 baada ya kununua vitu vya wanandoa waliokuwa kwenye mgogoro

    @Prumpet acha madhiaki wewe,,,, sio bure uyoo demu utakuwa unamtaka,,,, mwezi mmoja mzoeane Sana na iyoo demu,,,, Uyooo demu wako mwenye uwezii zoeana kwa uo mwenzi mmoja....
  11. mtassiwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nachukia wanaume wanaopenda kuja kuja jikoni

    Dada jichunguze vizuri si-bure Kuna jambo hapo haliko Sawa ,,,,, NYIE NDIO MNAOPEWA ELFU ISHIRINI ( 20,000/=.) YA MATUMIZI YA SIKU,,, mume akiludi kazini anakuta UGALI TEMBELE.... Tena na uyooo mume uliempata muungwana kweli,,, Ningekuwa mim ni mumeo ningekuja KULALA uko uko jiko,,,,, Ujinga...
  12. mtassiwa

    JamiiForums Tanzania Makonda usikubali kuachia hilo ghorofa na imani kubwa kuna nguvu kubwa inakulinda

    Ila BONGO bhana salutu,,,, mmeshidwa kupata kupata PICHA ya JENGO,,,, ambalo liko nje kila m2 analiona... Mumeleta NYARAKA ambazo zimefichwa kabatini nahis hata MKEWE hajawai zionaaaa...
  13. mtassiwa

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi kujinunulia majeneza na kujijengea kaburi?

    Ulikuwepo....???
  14. mtassiwa

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi kujinunulia majeneza na kujijengea kaburi?

    Kwa upande Wangu mm,,, naona si-sahihi,,, na kama yeye ataona Ni sahihi kufanya ivyoo,,, Ingekuwa vizuriii hata siku hakifa akajizike mwenyewe,,, asitupotezeee MDA WETU,,,,,
  15. mtassiwa

    JamiiForums Tanzania Kuna kitu kinakera sana kwa hizi taasisi za benki

    Mwambie unae mwambia,,,, hap sizan kama ujumbe umemfikiaa....
Back
Top Bottom