zito siyo mwanasiasa kigeugeu kama mnavyomfikiria, yule haondoki chadema nyie mtaishia kubwekabweka tu humu jf kuwa mmepata taarifa lkn hakuna ktakachoendelea. kigoma huwa hatutikiswi na upepo na asil yetu ni wabish ulza uambiwe. hakna wa kumtoa zzk
kumbe n dodoma wavivu wa kaz na kufikiri. ukiwapa pombe basi umepita, mkoa ambao % kubwa hawajaxoma na wanaamin bado kna chama ki1 (ccm) nikiwa wilaya ya kongwa mwka jana mwe'kit wa ccm wilaya aljitamblisha yeye n mwenyekt wa chama kwenye graduation
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.