pale ambapo mhindi ansababisha weusi kwa weusi tukapigana huku wao wakikaa magorofani wakiangalia.... Mungu tusaidie sana ila Vijana wa MWanza wanaendelea kuwaweka sawa polisi maana kile kilichoazimiwa cha kuzishusha zile geti zao walizojenga kuziba njia kimetimia.....
Aliyekuwa mkurugenzi wa shirika la Habari Tanzania SHIHATA na mhadhiri wa chuo kikuu cha mtakatifu Agustino, Nkwabi Ng'wanakilala amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Bugando jijini Mwanza alipokuwa anaugulia matatizo ya figo yaliokuwa yanamsumbua kwa takribani wiki tatu...
acheni ujinga nyie watu msio na huruma na hi nch wenje hakuwepo msibani wala kiongozi yeyote wa juu wa chadema. msiba sio lazima kuhudhuria na kamama hujahudhuria ni bora ujitetee kwa staili nyingine na sio kutugeuza wapumbavu. kama chadema mliguswa na msiba mbna mnyika, lissu na silinde...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.