Leo Nimepita KARIAKOO MTAA WA MKUNGUNI… Nimethaminisha Migahawa yote ya mtaa ule na kukumbuka Details kwamba Ally Mpemba ana Range Rover, na ana pesa za kutosha hivyo hawezi kuwa na Mgahawa Uchwara… napata hisia Mgahawa wa Ally Mpemba ni ule uliopo ndani ya lile Jengo La AL-Uruba🤔
Matokeo ya form 4 ndio alipata division 2!! UMUGHAKA aliendelea Form 5 & 6 huko mkoani Tanga ila akafeli kwajil ya huyo demu wa kitanga ndo Babaake akamfukuza nyumbani na hapo ndipo inakuja ile story “Nilivonusurika kifo baada ya kutimuliwa nyumbani”
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.