Spencer namfaha amesoma shule ya msingi kipampa na ujiji secondary yy na mdogo wangu. Ni kijana anayependa mabadiliko na maendeleo ndio maana taarifa zake anazisoma kwa bashasha na mahaba. Hata hvo taarifa zake ziko balanced. Hongera Lameck
Nina brother angu ni chichiem kindakindaki mara nyingi huwa haangalii Taarifa ya habar. Leo kaniambia kapita mahali kakuta watu wanaangalia taarifa ya habar anasema ameshangazwa na ule umati wa musoma.
Wallah kwa mara ya kwanza namsikia bro akisema kuwa Edo anaweza kuchukua nchi kama hali ndo...
EL sio mjinga wa kutokujua haya. Magamba walipoleta hackers wa kichina naye ameingiza Computer analyst and contractors zaid ya 45 kwa kazi hiyo. Wizi wa kura kwa njia ya mtandao co jambo geni tena baada ya yaliyotokea kwenye uchaguz uliopita nchini kenya. Uhuru alishinda kwa njia hii. Cha msingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.