Mkuu,
Ni muda gani umepita toka hiyo kampuni ikufanyie hiyo kazi?
Nadhani namjua huyo bwana unaye mzungumzia, tayari amesha staafu pale, ana biashara nyingi tu lakini sikujua kama anatoa pia mizigo.
Mhhh mbona kazi ipo. Sasa na kama ndiyo nataka kutoa kontena lenye personal effects (i.e. gari, nguo, furniture, electronics, etc... nimeishi ughaibuni miaka minne), ngoma yake inakuwaje? Maana nasikia kuna misamaha ya kodi kwa "returning resident" lakini hizo info sijaziona anywhere kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.