Watanzaia wengi na hata nchi jirani mtakuwa mmewahi kusikia pambio za sifa kutoka kwa wanasiasa na uongozi wa awamu ya nne, hasa wa kutoka mrengo wangu wa kulia, juu ya uwekezaji wa kiwanda cha saruji cha tajiri namba moja wa Afrika, Mnigeria Aliko Dangote mkoani mtwara. Binafsi niliposikia...
Hata kama Mwigulu ana historia chafu, hapa nampongeza sana kwa kupata nafasi hiyo kwa niaba ya nchi yetu. lakini kushangiliwa si lazima maana anaweza kuwa ametoa msimamo ambao ni faida kwetu na hauwafurahishi wao mfano kukataa ndoa za jinsia moja au kuonyesha mwelekeo wa kuegemea kusaidia watu...
Kiingereza ni lugha ya pili ya Taifa, lakini watanzania wengi hawajui kiingereza kwa sababu ili ujue kiingereza tz mara nyingi lazima uwe umepita shule angalau sekondari ambapo elimu inatolewa kwa kiingereza, sasa kwetu sisi watz ambao wengi hawajapata fursa ya kuhudhuia shule ambao pia ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.