Usalama katika Maisha ya Kila Siku
1)Epuka kutembea peke yako usiku Kama inawezekana, tembea na mtu au tumia usafiri wa umma wakati wa usiku.
2) Hakikisha nyumba yako ina usalama mzuri, na funga milango na madirisha vizuri.
3)Jifunze ishara za kujilinda kwa dharura, kama vile kutumia sauti ya...
Jitahidi sana uwe unafanya mazoezi hata ya ukakamavu kama kareti nk . Hii ni kwa ajili ya self defence. Ipo siku yatakusaidia. Lakini pia watotowako wafundishe dhana ya ukakamavu pia.
Wakuu heshima zenu, Nipo Moshi kwa muda usiopungua wiki kadha.Kwa uwepo wangu hapa bado sijapata kuona maeneo yenye pisi Kali. Naomba uelekeo wenu wakuu na kama yupo humu ambaye yupo serious kidogo aje PM tuyajenge chap.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.