Recent content by mtamusana

  1. M

    NINA SWALI

    Dah nilikua nawasiwasi sana , asanteni kwa kunitoa hofu. Mana walimu wengine walikua wanivunja moyo
  2. M

    NINA SWALI

    NIMEOMBA UHAMISHO PROCESS ZOTE HALALI NIMEPITIA. Kama vile barua zote za kuhama kutoka nilipo na kuhamia ninapokwenda nimepata na nafasi ipo ya kuhamia. nimeambatanisha nakala zote zinazotakiwa isipokuwa sina barua ya kuthibitishwa kazini kwasababu nimeajiriwa mwaka huu mwezi wa tano.. iyo tu...
  3. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    watu hawataki kigoma sijui kwanini, mim pia nipo kasulu ila sijapata mtu wala sijaona mtu yeyote
  4. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo kasulu mjini nije tanga. Morogoro. Bagamoyo, pwani, kilimanjaro. Idara sekondary
  5. M

    Nisaidieni

    Habari! Swali. Je upo uwezekano wa kuomba uhamisho kwenda mkoa mwengine hata kama hujapata barua ya Tscd ambayo nasikia unapewa baadacya mwaka mmoja?? Kama haupo je kama una matatizo ya kiafya na unataka kuwa karibu na nyumbani haiwezekani pia kukuhamisha?? Na kama inawezekana nitumie...
  6. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    njoo kigoma nije tanga, iringa, kilimanjaro, pwani . njoo pm
  7. M

    Tanzania Geography Teachers For Secondary Schools Special Thread

    Kama umehitimu ktk fani hiyo halafu hujui u2mie njia gani huo msiba mkubwa. Au chuo chenu hamjasomeshwa kozi ya special method of teaching geog? Unanitia aibu
  8. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo kigoma kasulu , nije tanga popote, iringa , mbea, morogoro .
  9. M

    MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

    kigoma kasulu dc nipe habari zake
  10. M

    MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

    mnataka sababu tu na kupata kusema wakati unajua kua typing error kwa bahati mbaya. kama wewe hujawahi kukosea
  11. M

    MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

    natafuta wenzangu walopata kigoma
Back
Top Bottom