NIMEOMBA UHAMISHO PROCESS ZOTE HALALI NIMEPITIA. Kama vile barua zote za kuhama kutoka nilipo na kuhamia ninapokwenda nimepata na nafasi ipo ya kuhamia. nimeambatanisha nakala zote zinazotakiwa isipokuwa sina barua ya kuthibitishwa kazini kwasababu nimeajiriwa mwaka huu mwezi wa tano.. iyo tu...
Habari! Swali. Je upo uwezekano wa kuomba uhamisho kwenda mkoa mwengine hata kama hujapata barua ya Tscd ambayo nasikia unapewa baadacya mwaka mmoja??
Kama haupo je kama una matatizo ya kiafya na unataka kuwa karibu na nyumbani haiwezekani pia kukuhamisha??
Na kama inawezekana nitumie...
Kama umehitimu ktk fani hiyo halafu hujui u2mie njia gani huo msiba mkubwa. Au chuo chenu hamjasomeshwa kozi ya special method of teaching geog? Unanitia aibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.