Recent content by Mtali

  1. Mtali

    Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra...

    Ni kweli kabisa. Ila hii makitu sijui wadau wanaioteaje? Kwa maana kila unayo gusa watu wanakuwa wamefanya uzinduzi
  2. Mtali

    Huyu Mwanamke tangu alipokuja kwangu kang'ang'ania kukaa hataki kuondoka

    Muachie ghetto songa mbele...... Tafuta ghetto jingine.
  3. Mtali

    Iran kazabuliwa kofi la uso yeye karudisha kwa kumsukuma tu Israel

    Mama anaupiga mwingi......
  4. Mtali

    LIVE UPDATES: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Iran na Israel

    Hii vita haiwezi piganwa......
  5. Mtali

    BAVICHA yatinga Rufiji, Yakagua Mafuriko na kufanya Tathmin kabambe

    It won't help you....
  6. Mtali

    JamiiForums Usiku wa manane

    02:36hrs Lindo Makete
  7. Mtali

    LIVE UPDATES: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Iran na Israel

    Hatimaye uzi pendwa mwingine.... Asante
  8. Mtali

    Kapteni Mabior Garang akiwa nje ya nyumba ya Mama yake huko Jebel Sudan Kusini

    Jamaa amekula malapa hana habari... Hizo protocol mnazijua wenyewe...... 🤣
  9. Mtali

    JamiiForums Usiku wa manane

    Nipo hapa.... 2:20am
  10. Mtali

    Rufiji: Vijiji 23 vimekumbwa na mafuriko makubwa kutoka Bwawa la Umeme la JNHPP. Je, Tathmini ya athari kwa mazingira ilipuuzwa kabla ya ujenzi?

    Mafuriko hayakuwa ni malengo ya mradi.... Lakini nisehemu ya matokeo ambayo hayakutarajiwa.... Au kinga haikutiliwa mkazo..... Lakini changamoto hiyo haiondoi umuhimu wa mradi....
  11. Mtali

    Rufiji: Vijiji 23 vimekumbwa na mafuriko makubwa kutoka Bwawa la Umeme la JNHPP. Je, Tathmini ya athari kwa mazingira ilipuuzwa kabla ya ujenzi?

    Wakati mwingine ni bora kutumia lugha ngumu kama hivi.... Akili wanaziweka likizo na kufuata mkumbo...
  12. Mtali

    Rufiji: Vijiji 23 vimekumbwa na mafuriko makubwa kutoka Bwawa la Umeme la JNHPP. Je, Tathmini ya athari kwa mazingira ilipuuzwa kabla ya ujenzi?

    Mradi mkubwa kama huo haiwezekani ufanyike bila EIA..... Final report huwa na mapendekezo mbalimbali. Ambapo katika situation kama hiyo Evacuation, Dredging construction of Dykes etc as a way forward.....
Back
Top Bottom