Recent content by Mtali

  1. Mtali

    JamiiForums Tanzania Nimesoma hii comment ya huyu hadi mwili umesisimuka

    Kwakweli inauma sana.... Pole
  2. Mtali

    JamiiForums Tanzania Balozi Sefue: Maandamano halali yana masharti, watu wanasema Polisi wameua watu lakini polisi hawakuamka tu wakaamua kuua

    Kwani Balozi mwenzie @ Humphrey Polepole yupo wapi?
  3. Mtali

    JamiiForums Tanzania Serikali: Makala ya BBC haina ushahidi. Tutachukua hatua kulinda uhuru, heshima na usalama wa nchi

    Mwamba ana maisha magumu sana.... Sijui kama huwa wanamkumbuka hata kumfuta jasho japo kidogo kwa kazi ngumu anayoifanya...
  4. Mtali

    JamiiForums Tanzania Serikali: Makala ya BBC haina ushahidi. Tutachukua hatua kulinda uhuru, heshima na usalama wa nchi

    Hiki kitengo kinapitia wakati mgumu sana... Waliosababisha haya yote wapo huko nchi za mbali wanakula raha....
  5. Mtali

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu Masaju awataka Mawakili wasiwe wanaharakati!!

    Swahiba Madeleka yuko wapi?
  6. Mtali

    JamiiForums Tanzania Alikuwa amejiandaa kunyanyua simu alipoona chawa kakataliwa live, akaenda zake kulala

    Huyo Chawa atajwe tu jamani....
  7. Mtali

    JamiiForums Tanzania Michael Scofield exposes his boyfriend

    Very dubious....
  8. Mtali

    JamiiForums Tanzania Ni kweli Makonda ndiye ameamua kumchagua Rais wa Kamati ya Olimpiki Tanzania?

    Uzuri huko ndani wenyewe hawaaminiani.......
  9. Mtali

    JamiiForums Tanzania Marekani yaishambulia Iran kijeshi na kuweka vikwazo vipya vya mafuta, hali yachafuka Mashariki ya Kati

    Balaa hili..... Hawa jamaa wapuuzi sana....
  10. Mtali

    JamiiForums Tanzania Huyu sio mwanao usimfokee, kama umechoka sepa! – Maneno ya singo mama

    Hawa vijana hawaelewi hadi wafe.....
  11. Mtali

    JamiiForums Tanzania Huyu sio mwanao usimfokee, kama umechoka sepa! – Maneno ya singo mama

    Hapo angalau..... Mwamba akiwa hai utakutana na mauzauza tu....
  12. Mtali

    JamiiForums Tanzania Huyu sio mwanao usimfokee, kama umechoka sepa! – Maneno ya singo mama

    Vijana sijui waambiwaje wakaelewa hatari ya kudate masingo maza ambao wenza wapo hai....
  13. Mtali

    JamiiForums Tanzania Ni kweli jiji la Mbeya mabinti wengi 19 - 24 ambao wapo nyumbani ni ngumu kumpata asie na mtoto ? Chanzo ni nini ?

    Ukanda huo wanawake wababe hatari.... Ukizingua kula kipigo nje nje..... 🤣
  14. Mtali

    JamiiForums Tanzania Kauli za Sheikh Mwaipopo; athari zake kwa jamii, ukimya wa polisi na fundisho la Rwanda 1994

    Dah inchi ndio inaingia kwenye machafuko....
Back
Top Bottom