Recent content by Mtali

  1. Mtali

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Asante kwa mabadiliko. Changamoto Logo ya sasa munekano wake bado sio wakuvutia......... Logo ya zamani ina muonekano mzuri zaidi kuliko ya sasa.... Sorry for the challenge
  2. Mtali

    JamiiForums Tanzania Mafwele yuko wapi?

    Deported...
  3. Mtali

    JamiiForums Tanzania Usioe wala kuanzisha na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke wa namna hii, utajuta

    Hao namba moja ni takataka hawafai hata bure.... Hizo harakati huwa wanahamishia hadi ndani ya familia.... Kundi jingine halifai hata bure ni wanawake wanaopenda siasa... Hovyo sana... Unatakiwa uwe na roho ngumu.
  4. Mtali

    JamiiForums Tanzania Ulinzi uimarishwe Agosti 07, 2026 - Kuelekea Kutabaruku Kanisa Katoliki - Arusha

    Amekuwa Rais....
  5. Mtali

    JamiiForums Tanzania Hivi kweli sheria haisemi chochote kwa mwanamke aliyekuja ghetto na kugoma kutoa mzigo

    Imebidi nicheke tu....... 😂 🤣
  6. Mtali

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa watu wameuziwa udongo kikombe Tsh 10,000 kwenye Mkesha Usiosahalika kwa Mwamposa

    Wafuasi wa Kibwetele... 🤣 😂 😅 🤣
  7. Mtali

    JamiiForums Tanzania Imekuwaje Mwana FA,Msigwa na Makonda wote Kuingia Mitini kwenye ziara ya Nchimbi uwanja wa Afcon Arusha

    Imekuwa takata ya kuchoma moto.... Maana hata kwa samadi haifai....
  8. Mtali

    JamiiForums Tanzania Nimesoma hii comment ya huyu hadi mwili umesisimuka

    Kwakweli inauma sana.... Pole
  9. Mtali

    JamiiForums Tanzania Balozi Sefue: Maandamano halali yana masharti, watu wanasema Polisi wameua watu lakini polisi hawakuamka tu wakaamua kuua

    Kwani Balozi mwenzie @ Humphrey Polepole yupo wapi?
  10. Mtali

    JamiiForums Tanzania Serikali: Makala ya BBC haina ushahidi. Tutachukua hatua kulinda uhuru, heshima na usalama wa nchi

    Mwamba ana maisha magumu sana.... Sijui kama huwa wanamkumbuka hata kumfuta jasho japo kidogo kwa kazi ngumu anayoifanya...
  11. Mtali

    JamiiForums Tanzania Serikali: Makala ya BBC haina ushahidi. Tutachukua hatua kulinda uhuru, heshima na usalama wa nchi

    Hiki kitengo kinapitia wakati mgumu sana... Waliosababisha haya yote wapo huko nchi za mbali wanakula raha....
Back
Top Bottom